Naombeni ushauri wanaume jf

Naombeni ushauri wanaume jf

Nimekosa Hamu na mwanaume wangu kutokana na tabia na mambo ya machukizo na maumizo anayoyafanya ..[HASHTAG]#ametokea[/HASHTAG] mwanaume mmoja kunipenda kwa mda mrefu lkn nilikuwa simpi chance hii nikutokana na kuwa nahuyo mwenye maumizo na machukizo naombeni mnishauri je nianze nae mahusiano officially au nisubir kwanza .??Msaada wenu plz maana nimechoka sipati Upendo nao taka kutoka kwa huyo wa kwanza#huyu mwingine ameonyesha Upendo kwa mda mrefu,kunijali,kuniheshimu,kunishauri na kazalika.
unaweza anza mahusiano kama yule mwingine unaona hafai Ila kwa mfumo huu
kwanza muite ongea nae na msikilize anasemaje kuhusu muafaka wenu na kingine mueleze unavyojisikia juu yake hapa namuongelea huyo currently boyfriend wako na akishakupa majibu yake take time uchanganue moja moja , dada angu katika mia unaweza pata mmoja ambae atakujari sana kupita maelezo watu wanaumia kwenye mahusiano kutokana na kushindwa Ku clear kitu kidogo tu.
 
unajua utu uzima ni dawa acha tu adange huku na huko hajui wanaume angejua hata mmoja hapo hampendi asingeongea.namshukuru Mungu kunipa jicho la tatu sipendi kabisa mapenzi siku hizi na nipo ok hadi nabarikiwa wanaume kumbe wana gundu aisee ukiwa nao hata mafanikio yanakata .
ndo wewe friji umejaza watermelon.....
 
Nimekosa Hamu na mwanaume wangu kutokana na tabia na mambo ya machukizo na maumizo anayoyafanya ..[HASHTAG]#ametokea[/HASHTAG] mwanaume mmoja kunipenda kwa mda mrefu lkn nilikuwa simpi chance hii nikutokana na kuwa nahuyo mwenye maumizo na machukizo naombeni mnishauri je nianze nae mahusiano officially au nisubir kwanza .??Msaada wenu plz maana nimechoka sipati Upendo nao taka kutoka kwa huyo wa kwanza#huyu mwingine ameonyesha Upendo kwa mda mrefu,kunijali,kuniheshimu,kunishauri na kazalika.
Mama sisi wanaume wacha tuitwe wanaume maana tukidhamiria kumpata demu hata awamu mbili za maraisi zaweza pita na tukavumilia na usumbufu wako cku ukikubali tu kuvua chupi imekula kwako.
Mfano hai mm mwenyewe Nilimfatilia Manzi kuanzia 2009 cjakata tamaa nimekuja kumgonga juzi 2015 na nimsha temana nae sasa ww teea teea na achama ukijua kanivumilia mda mrefu ndio cku utajua kwa nn watu hawapendi kuweka kitanda katikati ya chumba.
 
Back
Top Bottom