Naombeni ushauri wanaume jf

ndio maaana umenenepa
 
Wanawake tufikie mahali tujitambue Sasa

Hata aibu hujionei?

Utadanki danki kwenye mahusiano had lini?

Me nakushauri ungepumzika kwanza

Akikutenda tena utakuja kulialia

Please know your worth
wachache wenye kulitambua ulilosema. big up mkuu

wakati mwingine nataman niweke kitchen part maana wanatutia aibu
 
wachache wenye kulitambua ulilosema. big up mkuu

wakati mwingine nataman niweke kitchen part maana wanatutia aibu
weka kuna watu wanatufanya tunaonekana wote ndio walewale
 
Tatizo nn ushanogewa na pesa za uyo jombaa mwingine
 
wanazuga tu bwana..Si alisemaga siku moja akatoa clue kua Dada aka anaitwa farida
yeah nakumbuka iyo siku alikua na hasira aligombana na rafk yake mmoja alimwambia atamtolea siri zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…