Naombeni ushauri wanaume jf

Naombeni ushauri wanaume jf

unajua utu uzima ni dawa acha tu adange huku na huko hajui wanaume angejua hata mmoja hapo hampendi asingeongea.namshukuru Mungu kunipa jicho la tatu sipendi kabisa mapenzi siku hizi na nipo ok hadi nabarikiwa wanaume kumbe wana gundu aisee ukiwa nao hata mafanikio yanakata .
ndio maaana umenenepa
 
Wanawake tufikie mahali tujitambue Sasa

Hata aibu hujionei?

Utadanki danki kwenye mahusiano had lini?

Me nakushauri ungepumzika kwanza

Akikutenda tena utakuja kulialia

Please know your worth
wachache wenye kulitambua ulilosema. big up mkuu

wakati mwingine nataman niweke kitchen part maana wanatutia aibu
 
wachache wenye kulitambua ulilosema. big up mkuu

wakati mwingine nataman niweke kitchen part maana wanatutia aibu
weka kuna watu wanatufanya tunaonekana wote ndio walewale
 
anaweza kua yy maana kwa kupaniki kule hatarii
Screenshot_2016-12-14-11-39-01.png
Screenshot_2016-12-14-11-39-06.png
Screenshot_2016-12-14-11-39-13.png
ngoja mwenye uzi wake aje atufukuze ila umbea popote bana
 
Tatizo nn ushanogewa na pesa za uyo jombaa mwingine
 
wanazuga tu bwana..Si alisemaga siku moja akatoa clue kua Dada aka anaitwa farida
yeah nakumbuka iyo siku alikua na hasira aligombana na rafk yake mmoja alimwambia atamtolea siri zake
 
Back
Top Bottom