Naombeni ushauri wanaume jf

haswaaa, wanani let down kweli hawa viumbe. au tusubiri shule zifunguliwe tuone kama ndo mtindo huu naweka kitchen party ya bureeeee
eb tusubili wakifungua shule tuone
 
well said
 
Tafuta pesa,achana na mapenzi
 
Mshirikishe Mungu... Vitu vingine havionekani kwa macho.... Ni vya kiroho.... Na mpaka uwe rohoni ndio utaona na kuelewa....!!!! Nafikiri umenielewa bibie...!!!
 
Mama Jaden n hawara ya Rommy Jones au yupi?


Nimeona Dougie Na Mily full maneno kunani Leo nilikamatika
Mmh hizo screenshots nilizopost haujazisoma mama jaden sio huyo wa rommy ni mdada anaitwa hawa ndio milly anasema ndio dougie sasa dougie anatoa povu anasema sio yy watu wanasema kama sio yy mbona kapanic sana angekaa kimya
 
Mmh hizo screenshots nilizopost haujazisoma mama jaden sio huyo wa rommy ni mdada anaitwa hawa ndio milly anasema ndio dougie sasa dougie anatoa povu anasema sio yy watu wanasema kama sio yy mbona kapanic sana angekaa kimya
Nimeona nimepitia chap chap Dougie Na Milly haiziivi ever since sakata la Milly Na Mange so Leo dizaini Milly kalipiza
 
Nimeona nimepitia chap chap Dougie Na Milly haiziivi ever since sakata la Milly Na Mange so Leo dizaini Milly kalipiza
yes toka sakata la mange na milly kasema sbbu dougie alikua anashangilia kwahiyo ugomvi wao hauishi unaendelea ila milly anawatesa wale vichaa wawili hawana raha
 
yes toka sakata la mange na milly kasema sbbu dougie alikua anashangilia kwahiyo ugomvi wao hauishi unaendelea ila milly anawatesa wale vichaa wawili hawana raha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] those who do you wrong will eventually face their own karma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…