Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
eb tusubili wakifungua shule tuonehaswaaa, wanani let down kweli hawa viumbe. au tusubiri shule zifunguliwe tuone kama ndo mtindo huu naweka kitchen party ya bureeeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
eb tusubili wakifungua shule tuonehaswaaa, wanani let down kweli hawa viumbe. au tusubiri shule zifunguliwe tuone kama ndo mtindo huu naweka kitchen party ya bureeeee
Ha haa ntakua mpole kwenye somo banawewe sitakuita aisee kuna mambo nitaongelea sitaki ... ajue na wewe lazima utapeleka habari
promiseHa haa ntakua mpole kwenye somo bana
gud adviceeb tusubili wakifungua shule tuone
well saidKweli kabisa mumy. Inatakiwa ifikie kipindi wanawake wenye id za kike na wenye jinsia ya kike kweli tushikamane ili tuwakomeshe hawa wanaume wasioisha kutudharau kila kukicha kutokana na baadhi ya wanawake kushindwa kushughulisha akili katika kufanya maamuzi.
That promise ha hapromise
haaaa kwa hiyo ulikuwa unanitega eeeh hunipatiThat promise ha ha
Tafuta pesa,achana na mapenziNimekosa Hamu na mwanaume wangu kutokana na tabia na mambo ya machukizo na maumizo anayoyafanya ..[HASHTAG]#ametokea[/HASHTAG] mwanaume mmoja kunipenda kwa mda mrefu lkn nilikuwa simpi chance hii nikutokana na kuwa nahuyo mwenye maumizo na machukizo naombeni mnishauri je nianze nae mahusiano officially au nisubir kwanza .??Msaada wenu plz maana nimechoka sipati Upendo nao taka kutoka kwa huyo wa kwanza#huyu mwingine ameonyesha Upendo kwa mda mrefu,kunijali,kuniheshimu,kunishauri na kazalika.
Mshirikishe Mungu... Vitu vingine havionekani kwa macho.... Ni vya kiroho.... Na mpaka uwe rohoni ndio utaona na kuelewa....!!!! Nafikiri umenielewa bibie...!!!Nimekosa Hamu na mwanaume wangu kutokana na tabia na mambo ya machukizo na maumizo anayoyafanya ..[HASHTAG]#ametokea[/HASHTAG] mwanaume mmoja kunipenda kwa mda mrefu lkn nilikuwa simpi chance hii nikutokana na kuwa nahuyo mwenye maumizo na machukizo naombeni mnishauri je nianze nae mahusiano officially au nisubir kwanza .??Msaada wenu plz maana nimechoka sipati Upendo nao taka kutoka kwa huyo wa kwanza#huyu mwingine ameonyesha Upendo kwa mda mrefu,kunijali,kuniheshimu,kunishauri na kazalika.
.... Ushauri mzuri sana huu.Tafuta pesa achana na mapenzi
Mama Jaden n hawara ya Rommy Jones au yupi?Mama jaden katoa povu acha anasema yy sio hawa cheusi
Mmh hizo screenshots nilizopost haujazisoma mama jaden sio huyo wa rommy ni mdada anaitwa hawa ndio milly anasema ndio dougie sasa dougie anatoa povu anasema sio yy watu wanasema kama sio yy mbona kapanic sana angekaa kimyaMama Jaden n hawara ya Rommy Jones au yupi?
Nimeona Dougie Na Mily full maneno kunani Leo nilikamatika
Nimeona nimepitia chap chap Dougie Na Milly haiziivi ever since sakata la Milly Na Mange so Leo dizaini Milly kalipizaMmh hizo screenshots nilizopost haujazisoma mama jaden sio huyo wa rommy ni mdada anaitwa hawa ndio milly anasema ndio dougie sasa dougie anatoa povu anasema sio yy watu wanasema kama sio yy mbona kapanic sana angekaa kimya
yes toka sakata la mange na milly kasema sbbu dougie alikua anashangilia kwahiyo ugomvi wao hauishi unaendelea ila milly anawatesa wale vichaa wawili hawana rahaNimeona nimepitia chap chap Dougie Na Milly haiziivi ever since sakata la Milly Na Mange so Leo dizaini Milly kalipiza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] those who do you wrong will eventually face their own karmayes toka sakata la mange na milly kasema sbbu dougie alikua anashangilia kwahiyo ugomvi wao hauishi unaendelea ila milly anawatesa wale vichaa wawili hawana raha
always inakuaga hivyo usimfanyie mtu ubaya bila sbbu au sbbu sijui unamchukia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] those who do you wrong will eventually face their own karma
Na usimdharau usiemjua siku zote hivi nasikia mange n shemale?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]always inakuaga hivyo usimfanyie mtu ubaya bila sbbu au sbbu sijui unamchukia
Na usimdharau usiemjua siku zote hivi nasikia mange n shemale?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]