Naombeni ushauri wanaume jf

Naombeni ushauri wanaume jf

unajua utu uzima ni dawa acha tu adange huku na huko hajui wanaume angejua hata mmoja hapo hampendi asingeongea.namshukuru Mungu kunipa jicho la tatu sipendi kabisa mapenzi siku hizi na nipo ok hadi nabarikiwa wanaume kumbe wana gundu aisee ukiwa nao hata mafanikio yanakata .
hahahahaaa isipokua mimi tu basi
 
Nimekosa Hamu na mwanaume wangu kutokana na tabia na mambo ya machukizo na maumizo anayoyafanya ..[HASHTAG]#ametokea[/HASHTAG] mwanaume mmoja kunipenda kwa mda mrefu lkn nilikuwa simpi chance hii nikutokana na kuwa nahuyo mwenye maumizo na machukizo naombeni mnishauri je nianze nae mahusiano officially au nisubir kwanza .??Msaada wenu plz maana nimechoka sipati Upendo nao taka kutoka kwa huyo wa kwanza#huyu mwingine ameonyesha Upendo kwa mda mrefu,kunijali,kuniheshimu,kunishauri na kazalika.
Jiongezeee
 
Yule mwenye bango la kutafta sponsor kalimwa ban [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mods wanwazibia rizq members wao hahhahahahahhah fursa Kila mahali
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]niliona uzi ulifutwa kumbe na ban kala sijui wanapata kweli sponsor
 
Nilivyoona kichwa cha habari Nikajua kaja kuzisema boksa za wanaume. Kumbe wala binti wa watu analilia kupendwa.
 
Back
Top Bottom