Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahaaa isipokua mimi tu basiunajua utu uzima ni dawa acha tu adange huku na huko hajui wanaume angejua hata mmoja hapo hampendi asingeongea.namshukuru Mungu kunipa jicho la tatu sipendi kabisa mapenzi siku hizi na nipo ok hadi nabarikiwa wanaume kumbe wana gundu aisee ukiwa nao hata mafanikio yanakata .
JiongezeeeNimekosa Hamu na mwanaume wangu kutokana na tabia na mambo ya machukizo na maumizo anayoyafanya ..[HASHTAG]#ametokea[/HASHTAG] mwanaume mmoja kunipenda kwa mda mrefu lkn nilikuwa simpi chance hii nikutokana na kuwa nahuyo mwenye maumizo na machukizo naombeni mnishauri je nianze nae mahusiano officially au nisubir kwanza .??Msaada wenu plz maana nimechoka sipati Upendo nao taka kutoka kwa huyo wa kwanza#huyu mwingine ameonyesha Upendo kwa mda mrefu,kunijali,kuniheshimu,kunishauri na kazalika.
Yule mwenye bango la kutafta sponsor kalimwa ban [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mods wanwazibia rizq members wao hahhahahahahhah fursa Kila mahalisina nilichoelewa naona watu wanatafta fursa
Itakua ngosha Na yeyeha ha ha promo at work
Mhhhh[emoji32][emoji32]Liwa kiboga tu mama
na usikute wapo wanaopatikanaWatu tuko tofauti sana. Wengine humu wanapima upepo tu
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]niliona uzi ulifutwa kumbe na ban kala sijui wanapata kweli sponsorYule mwenye bango la kutafta sponsor kalimwa ban [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mods wanwazibia rizq members wao hahhahahahahhah fursa Kila mahali
[emoji28][emoji28]Itakua ngosha Na yeye
Inawezekana pia.na usikute wapo wanaopatikana
[emoji23][emoji23][emoji23]wamemlima ban tangu lini nazi ikashindana Na jiwe[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]niliona uzi ulifutwa kumbe na ban kala sijui wanapata kweli sponsor
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28]
[emoji28][emoji28]niliona analalamika kwa nn uzi wake ulifutwa kazi wanayo[emoji23][emoji23][emoji23]wamemlima ban tangu lini nazi ikashindana Na jiwe
Hahahahhahahha inaonekana alipost lile bango mods wakaufuta uzi akaona isiwe Shida akarudia tena now anahemea mashine Kwa ban[emoji28][emoji28]niliona analalamika kwa nn uzi wake ulifutwa kazi wanayo
Mweeeeeh sio Kwa kupendwa hukuNilivyoona kichwa cha habari Nikajua kaja kuzisema boksa za wanaume. Kumbe wala binti wa watu analilia kupendwa.
ukajiandaa kuja kutoa povu [emoji28]Nilivyoona kichwa cha habari Nikajua kaja kuzisema boksa za wanaume. Kumbe wala binti wa watu analilia kupendwa.
ha ha ha pole yakeHahahahhahahha inaonekana alipost lile bango mods wakaufuta uzi akaona isiwe Shida akarudia tena now anahemea mashine Kwa ban
NGOJA NILILAZE KESHO NASAFIRI MKUU ENDELEENI NA MAISHA YENU NYIE SI MNAJIONA WAJANJA TUMEWAACHIA MIOYO YENU NA NYIE MTUACHE NA YETUYaani sijui tumekukosea nini wewe miss!