Mtetezi.com
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 3,134
- 3,584
Vp mzigo ushampa?
Na je unaionaje shughuli yake?
Mana msaada mwingine lazima tujue pakuanzia?
Na je unaionaje shughuli yake?
Mana msaada mwingine lazima tujue pakuanzia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahhahahahahhahahah Milly katibukwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 446291[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] hiyo ya ushemale wanamsingizia si kweli
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]acha nilale mpnz kesho tutaendelea na maumbea yetuHahhahahahahhahahah Milly katibukwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aya mamaa pumzika good night[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]acha nilale mpnz kesho tutaendelea na maumbea yetu
Jamani sijakutega lolhaaaa kwa hiyo ulikuwa unanitega eeeh hunipati
Sio wote sema baadhi ulishatuona sisi tunaleta post za utumbo zisizokua na kichwa wala miguu
nije na id mpya kunagaiwa hela au waulize hao wanaopost love connectsiwezi kuwaona!huwa munakuja na ids zenu mpya-new member-!
machale ngundesa maeJamani sijakutega lol
KWA hiyo unajichuaunajua utu uzima ni dawa acha tu adange huku na huko hajui wanaume angejua hata mmoja hapo hampendi asingeongea.namshukuru Mungu kunipa jicho la tatu sipendi kabisa mapenzi siku hizi na nipo ok hadi nabarikiwa wanaume kumbe wana gundu aisee ukiwa nao hata mafanikio yanakata .
Nimekosa Hamu na mwanaume wangu kutokana na tabia na mambo ya machukizo na maumizo anayoyafanya ..[HASHTAG]#ametokea[/HASHTAG] mwanaume mmoja kunipenda kwa mda mrefu lkn nilikuwa simpi chance hii nikutokana na kuwa nahuyo mwenye maumizo na machukizo naombeni mnishauri je nianze nae mahusiano officially au nisubir kwanza .??Msaada wenu plz maana nimechoka sipati Upendo nao taka kutoka kwa huyo wa kwanza#huyu mwingine ameonyesha Upendo kwa mda mrefu,kunijali,kuniheshimu,kunishauri na kazalika.
Pengine ni tangazo.Watu tuko tofauti sana. Wengine humu wanapima upepo tu
Nimekosa Hamu na mwanaume wangu kutokana na tabia na mambo ya machukizo na maumizo anayoyafanya ..[HASHTAG]#ametokea[/HASHTAG] mwanaume mmoja kunipenda kwa mda mrefu lkn nilikuwa simpi chance hii nikutokana na kuwa nahuyo mwenye maumizo na machukizo naombeni mnishauri je nianze nae mahusiano officially au nisubir kwanza .??Msaada wenu plz maana nimechoka sipati Upendo nao taka kutoka kwa huyo wa kwanza#huyu mwingine ameonyesha Upendo kwa mda mrefu,kunijali,kuniheshimu,kunishauri na kazalika.