Naombeni ushauri wenu kwenye hili

Naombeni ushauri wenu kwenye hili

habari wana jf
niende moja kwa moja kwenye mada, toka mwaka 2020 kuna mwanaume nlikua nampenda sana in short ata mahusiano
Ulikosea sana kumtega ili akutongozee

Alikuwa hakupendi

Cha kukushauri ni mwelezee bosi wako full scenario ili mambo yasije kuvurugika mbeleni ila ila ila ila ila ila usikae kumrudia huyu mwanaume utajijengea kaburi lako

Yangu ni hayo tu 😁😁😁😁
 
Kuna watu wengine ni wapuuzi kuliko hata upuuzi wenyewe, akosee yeye alafu aje na vimasharti uchwara, huyo jamaa ni mpuuzi kuwahi kutokea sijui ulitoka wapi na mtu mpuuzi kiasi hicho, mshukuru Mungu kukuengua mikononi mwa huyo jamaa.

Ukirudiana nae utakua unakosea sana.
 
Huyo kisheti wakati unajilengesha, alikuwa na mauhusiano tayari.

Bahati mbaya watu si wa kweli, huenda sasa wameshamwagana anataka kuja kujipoza kwako.

Mkatae katakata, mchukulie RB tu asikuharibie kazi.

Ndiyo kitu pekee anataka kukufanyia, ukose kazi uanze kuhangaika na maisha.
 
😊 usihuzunike, hiyo ni fursa, fungus YouTube Channel, akiwa anakuja ofisini mrecord rusha kwenye channel yako, na jina la hiyo Series nakupa, the real life of a stranded stupid guy.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Daaah aseeee unanivunja mbavu 😁😁😁
 
Yaani mtego mdogo huo unachanganyikiwa,ukishasoma huu ujumbe inuka uende polisi kamshtaki waambie hivi
"kuna kaka anakujaga hapa ofisini anauza madawa ya kulevya ananilazimisha niwe msambazaji hapa ofisini kwetu"
Ananiambia nikikataa watanifanyia mbaya,naombeni mnusuru maisha yangu...halafu unalia kidogo.
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Daaah aseeee unanivunja mbavu 😁😁😁
😀😀 #Thinkabaurit
I will be your first and loyal subscriber.

Pumbavu zake.
 
Back
Top Bottom