Daah nimepoteza kazi.. akiba nina 1.3 million kodi nimeshalipa miezi sita naishi na ndugu zangu wawili mimi ni mjuzi wa Computer software.. Nssf nina 22million wameniambia nikae miezi 18 ndo watanipa hela tangu yote kwa sasa wanipa asilimia 33% ya mshara wangu kigezo kuwa nina Elimu naweza kupata tena kazi na mimi mpango wa kuajiriwa sina tena na wala sitaki..
Naombeni ushauri wenu nifanye biashara gani na hyo 1.3million nawaza kwenda Arusha nikajitafute upya kwa sasa Naishi Dar
Naombeni ushauri wenu nifanye biashara gani na hyo 1.3million nawaza kwenda Arusha nikajitafute upya kwa sasa Naishi Dar