Naombeni ushauri Wenu ni Muhimu nimechanganyikiwa

Naombeni ushauri Wenu ni Muhimu nimechanganyikiwa

Quan Lup

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2016
Posts
683
Reaction score
946
Daah nimepoteza kazi.. akiba nina 1.3 million kodi nimeshalipa miezi sita naishi na ndugu zangu wawili mimi ni mjuzi wa Computer software.. Nssf nina 22million wameniambia nikae miezi 18 ndo watanipa hela tangu yote kwa sasa wanipa asilimia 33% ya mshara wangu kigezo kuwa nina Elimu naweza kupata tena kazi na mimi mpango wa kuajiriwa sina tena na wala sitaki..

Naombeni ushauri wenu nifanye biashara gani na hyo 1.3million nawaza kwenda Arusha nikajitafute upya kwa sasa Naishi Dar
 
Weka 1ml sehemu anza kuzungusha upate hata 300 kwa mwezi kwanza.
Pili software. Unatoka. Ndugu, embu tafuta fursa. Hata mimi nimekutamani uliposema una ujuzi huo. Ukiweza hata mimi nikutumie boss tukunje noti, embu angalia fursa binafsi kupitia ujuzi wako.
 
Daah nimepoteza kazi.. akiba nina 1.3 million kodi nimeshalipa miezi sita naishi na ndugu zangu wawili mimi ni mjuzi wa Computer software.. Nssf nina 22million wameniambia nikae miezi 18 ndo watanipa hela tangu yote kwa sasa wanipa asilimia 33% ya mshara wangu kigezo kuwa nina Elimu naweza kupata tena kazi na mimi mpango wa kuajiriwa sina tena na wala sitaki..

Naombeni ushauri wenu nifanye biashara gani na hyo 1.3million nawaza kwenda Arusha nikajitafute upya kwa sasa Naishi Dar
Mkuu ulikuwa USAID nini? Anzisha kilimo cha tikiti maji na mayai ya kware.
 
N
Weka 1ml sehemu anza kuzungusha upate hata 300 kwa mwezi kwanza.
Pili software. Unatoka. Ndugu, embu tafuta fursa. Hata mimi nimekutamani uliposema una ujuzi huo. Ukiweza hata mimi nikutumie boss tukunje noti, embu angalia fursa binafsi kupitia ujuzi wako.
Ndio nina ujuzi huo mkuu nafanya software kama uko interested njoo PM
 
Back
Top Bottom