Naombeni ushauri wenu nifanyeje niweze kurudisha umbo langu la zamani

Naombeni ushauri wenu nifanyeje niweze kurudisha umbo langu la zamani

Pakua hii App "30days workout "....itakusaidia
Panama option ya mazoez ya tumbo name mikono... Although zipo name nyingine ila chagua unayotaka kufanyia kaz
Nilipakua hii app nikavamia zoezi kwa siku ya kwanza mbona kesho yake ilikuwa hata kunyanyua mkono mmoja tu shida,mwili wote ulikuwa unaumwa kama nini, ila nashukuru nimeanza kuyazoea kidogo kidogo
 
Si jambo la ajabu, ni dalili kuwa umri umeanza kukutupa mkono, lazima uyakubali mabadiliko, nadhani unayakumbuka matiti yako wakati unavovunja ungo jinsi yalivyokuwa yamesimama vyema na imara kama kifuu cha nazi, bila ya shaka hali hiyo haipo tena. Kwa ufupi hayo Ndio mabadiliko yanyoendana na umri, muda si mrefu utaona mabadiliko ktk maeneo yanayozunguka macho yako, usishangae bali yapokee tu.

Pendelea kula vyakula vinavyojenga mwili mara kwa mara ( matunda na mboga mboga) vitakusaidia kuimarisha ngozi yako isilegee sana. Pia fanya mazoezi ya kutembea kwa miguu angalau nusu saa kwa siku. Ukitembea 1hr itapendeza. Pia posheni yako ya chakula kila unapokula hakikisha inakuacha ukiwa bado unatamani kula ( iache tumbo wazi japo kidogo).

Jioni unapolala usile hadi kushiba. Unaweza kunywa maji na sambusa moja au mbili.
Haya mabadiliko yameniijia ghafla ndo maana nashangaa[emoji1] [emoji1] ,
Lakini haina jinsi na Mimi nimeona kabisa naukaribia uzeee inabidi nikubaliane na hali
 
Nilipakua hii app nikavamia zoezi kwa siku ya kwanza mbona kesho yake ilikuwa hata kunyanyua mkono mmoja tu shida,mwili wote ulikuwa unaumwa kama nini, ila nashukuru nimeanza kuyazoea kidogo kidogo
oooh pole

Anza na ile nyepes Kwanzaa... Ni kweli inauma jitahd tu
 
Back
Top Bottom