Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilipakua hii app nikavamia zoezi kwa siku ya kwanza mbona kesho yake ilikuwa hata kunyanyua mkono mmoja tu shida,mwili wote ulikuwa unaumwa kama nini, ila nashukuru nimeanza kuyazoea kidogo kidogoPakua hii App "30days workout "....itakusaidia
Panama option ya mazoez ya tumbo name mikono... Although zipo name nyingine ila chagua unayotaka kufanyia kaz
Asante,kunywa maji moto kila cku asubh na jion ukamulie linao ukiwezekana
Haya mabadiliko yameniijia ghafla ndo maana nashangaa[emoji1] [emoji1] ,Si jambo la ajabu, ni dalili kuwa umri umeanza kukutupa mkono, lazima uyakubali mabadiliko, nadhani unayakumbuka matiti yako wakati unavovunja ungo jinsi yalivyokuwa yamesimama vyema na imara kama kifuu cha nazi, bila ya shaka hali hiyo haipo tena. Kwa ufupi hayo Ndio mabadiliko yanyoendana na umri, muda si mrefu utaona mabadiliko ktk maeneo yanayozunguka macho yako, usishangae bali yapokee tu.
Pendelea kula vyakula vinavyojenga mwili mara kwa mara ( matunda na mboga mboga) vitakusaidia kuimarisha ngozi yako isilegee sana. Pia fanya mazoezi ya kutembea kwa miguu angalau nusu saa kwa siku. Ukitembea 1hr itapendeza. Pia posheni yako ya chakula kila unapokula hakikisha inakuacha ukiwa bado unatamani kula ( iache tumbo wazi japo kidogo).
Jioni unapolala usile hadi kushiba. Unaweza kunywa maji na sambusa moja au mbili.
Nimeshaanza, asanteNjo nikupe zoezi
Sijawahi kutumia maisha yangu yoteVp hutumii njia ya kufunga uzazi? Ni matokeo kwa baadhi ya watumiao
oooh poleNilipakua hii app nikavamia zoezi kwa siku ya kwanza mbona kesho yake ilikuwa hata kunyanyua mkono mmoja tu shida,mwili wote ulikuwa unaumwa kama nini, ila nashukuru nimeanza kuyazoea kidogo kidogo
Asante sana, sasa hivi nimeanza kuyafurahiaoooh pole
Anza na ile nyepes Kwanzaa... Ni kweli inauma jitahd tu
kudos dearAsante sana, sasa hivi nimeanza kuyafurahia
[emoji23][emoji23][emoji23] yaan nimebaki nashangaa nimefikiria kumbe nina miaka 5 tu niwe mzee.Kumbe 35 ni uzee,, ndo naskia leo