Naombeni ushauri wenu please

Naombeni ushauri wenu please

Joined
Mar 10, 2014
Posts
5
Reaction score
0
Mimi ni msichana wa umri 21 nafanya kazi oman nimetokea kumpenda kijana mmoja ni rafiki yangu but nashindwa ni vipi nimuambie how i feel for him niliwahi kumuuliza kuhusu love akasema anapenda sana sexy na anahitaji kuwa na girlfriend for sexy or not more na mi nampenda sana cause he the love in my dream nisaidie nifanye nini nimuambie au niendelee kuwa na mawazo juu yake
 
Mimi ni msichana wa umri 21 nafanya kazi oman nimetokea kumpenda kijana mmoja ni rafiki yangu but nashindwa ni vipi nimuambie how i feel for him niliwahi kumuuliza kuhusu love akasema anapenda sana sexy na anahitaji kuwa na girlfriend for sexy or not more na mi nampenda sana cause he the love in my dream nisaidie nifanye nini nimuambie au niendelee kuwa na mawazo juu yake
Kama na wewe unapenda sex mpe 0713...
 
amka ukjoe alafu urudi kulala.
 
vunja ukimwa. Ila tambua utapokea majibu ya aina mbili. Jibu la kwanza powa ambalo litakufanya ufurahi. Jibu la pili hapana ambalo litakufanya uumie sana na pengine ulie kabisa
 
Mmh, hold on a little. Kwa umri huo ni mauza uza tu, sijui kama kweli unampenda au unatamani kufanya practial ya biology.

Anyway, kupanga ni kuchagua. Ila mshkaji keshashtukia unampenda, na ameamua kuweka wazi mapemaaa, kama mtakuwa na mahusiano ni ya kingono tu.
 
Kama na wewe unapenda kutumika, Poa mwambie lakini jua kabisa kwamba hapo hakuna mapenz ya kweli kutoka kwake cz yeye anapenda hiyo kitu tu basi and not you. Na usishangae akiwa na wasichana wengi...
 
Mimi ni msichana wa umri 21 nafanya kazi oman nimetokea kumpenda kijana mmoja ni rafiki yangu but nashindwa ni vipi nimuambie how i feel for him niliwahi kumuuliza kuhusu love akasema anapenda sana sexy na anahitaji kuwa na girlfriend for sexy or not more na mi nampenda sana cause he the love in my dream nisaidie nifanye nini nimuambie au niendelee kuwa na mawazo juu yake
422686_279711508805837_426012858_a.jpg
 
kingereza chako loh, anyway huyo ni player na ameshaweka wazi sasa ukijitumbukiza wala hatakukataa tena utakuwa umemlaisishia kazi atakuchezea weee mwisho wa siku atasogea kwa mwingine wewe utaachwa kama ulivyojipeleka
 
Na kwa nchi uliyopo kuendekeza mambo hayo aibu kubwa, ebu kazana na sala na kazi yako utampata mume wako wa kheri sio unampenda hasiekuwazia kabisa, hiyo ni aibu kwa mtoto wa kiislam kama wewe Maryam so fanya yako ya msingi yanayokuweka Oman
 
Wanaume hawakataagi fursa kama hizo
muite jitutumue tu, jifanye huna mshipa wa aibu ummwagie yako ya moyoni
akisema for sex mkubalie, baada ya hapo tumia akili za kike kuyabadili mahusiano yasiwe ya sex tu
all the best....
 
,...Hivi kumbe mpwa wangu (my niece), 21yrs now atakuwa ameshaanza haka ka mchezo, ee Mungu!!
 
Back
Top Bottom