CONSTANTKD
Member
- Jan 24, 2018
- 24
- 8
Nimejaribu kila mbinu kuachana na mpzwng nimeshindwa kwan sipo tyr kuwanae tena kutokana na kunistress kila kukicha , ila nimejaribu kila mbinu kuachana nae but mwisho wa ck najikuta narudiana nae ,, but in reality najifoc2 ila cmpend tena na cpo tyr kua nae kwaxx ( yy yupo tzania mm nipo nje ya nchi)...nipeni mbinu nzuri za kuniwezesha kuachana nae na kumsahau kabisa akilini mwang[emoji1317]