Naombeni ushauri

Naombeni ushauri

CONSTANTKD

Member
Joined
Jan 24, 2018
Posts
24
Reaction score
8
Nimejaribu kila mbinu kuachana na mpzwng nimeshindwa kwan sipo tyr kuwanae tena kutokana na kunistress kila kukicha , ila nimejaribu kila mbinu kuachana nae but mwisho wa ck najikuta narudiana nae ,, but in reality najifoc2 ila cmpend tena na cpo tyr kua nae kwaxx ( yy yupo tzania mm nipo nje ya nchi)...nipeni mbinu nzuri za kuniwezesha kuachana nae na kumsahau kabisa akilini mwang[emoji1317]
 
Nimejaribu kila mbinu kuachana na mpzwng nimeshindwa kwan sipo tyr kuwanae tena kutokana na kunistress kila kukicha , ila nimejaribu kila mbinu kuachana nae but mwisho wa ck najikuta narudiana nae ,, but in reality najifoc2 ila cmpend tena na cpo tyr kua nae kwaxx ( yy yupo tzania mm nipo nje ya nchi)...nipeni mbinu nzuri za kuniwezesha kuachana nae na kumsahau kabisa akilini mwang[emoji1317]
We nae utakua na matatizo ya utindio wa ubongo si bure mkuu.... Yaan mtu humpend af bado et unataka mbinu ya kumuacha... Vitu vingine bhana ukisoma vinaeza hata kukera au ulipo hakuna madem wazuri mkuu.... We mblock kila angle af tafuta mtoto mzuri sana spend nae week nzima iwe ya mapumziko akupe raha za kutosha utamsahau tu huyo king'ast wa bongo [emoji41]
 
Nimejaribu kila mbinu kuachana na mpzwng nimeshindwa kwan sipo tyr kuwanae tena kutokana na kunistress kila kukicha , ila nimejaribu kila mbinu kuachana nae but mwisho wa ck najikuta narudiana nae ,, but in reality najifoc2 ila cmpend tena na cpo tyr kua nae kwaxx ( yy yupo tzania mm nipo nje ya nchi)...nipeni mbinu nzuri za kuniwezesha kuachana nae na kumsahau kabisa akilini mwang[emoji1317]
Upo standard gani huko shule?
 
We nae utakua na matatizo ya utindio wa ubongo si bure mkuu.... Yaan mtu humpend af bado et unataka mbinu ya kumuacha... Vitu vingine bhana ukisoma vinaeza hata kukera au ulipo hakuna madem wazuri mkuu.... We mblock kila angle af tafuta mtoto mzuri sana spend nae week nzima iwe ya mapumziko akupe raha za kutosha utamsahau tu huyo king'ast wa bongo [emoji41]

Pamoja chang’aaa [emoji1303]
 
Wewe ni mjinga huna lolote et anakupa stress sema humtaki full stop
 
Back
Top Bottom