MWALIMU DAIMA
Senior Member
- Mar 4, 2023
- 129
- 263
[emoji16]muache na wewe acha kumfatilia mind your businessMpenzi wangu kaniacha, kasema ameota anavishwa Pete na mtu mwingine, hivyo kasema mm sio mpango wa Mungu kwake.
Ni fanye nini mm.
( Huu ni ujumbe niliotumiwa na rafiki yangu Jana anaomba tumshauri)
ni zumaridi?Mpenzi wangu kaniacha, kasema ameota anavishwa Pete na mtu mwingine, hivyo kasema mm sio mpango wa Mungu kwake.
Ni fanye nini mm.
( Huu ni ujumbe niliotumiwa na rafiki yangu Jana anaomba tumshauri)
Mkuu, mbona siyo rafiki yako, ni wewe!Mpenzi wangu kaniacha, kasema ameota anavishwa Pete na mtu mwingine, hivyo kasema mm sio mpango wa Mungu kwake.
Ni fanye nini mm.
( Huu ni ujumbe niliotumiwa na rafiki yangu Jana anaomba tumshauri)
"Sina Cha Kuaidi Sababu Sina Hakika Kutmiza Ahad"
"Na Usiweke 2maini Lolote Kwangu."
"Sikupendi Na Sijawah Kukupenda Mungu Shaidi."
"Vng Vya Kufanya Shda Kuna Kizuiz Ndugu Yangu Ni Wewe Ulinishaur Kuusu Kuomb Nimeomba Sasa ,,,mungu Kaonesha Bado Yeye Tu Kutenda Ndio Maana Nimexema 2one Mwisho Itakuaje Maana Mwenyewe Niko Njia Panda Siamin Nilichokiona Na Syo Mala Moja ,,nmeota Ninapete Kwenye Kdore Ujue Na M2 Alie Nivesha Ni Mwngne Kabisa Sijawah Muwaza Wala Kumfikilia Afu Wew Ndio Unaxema Ni Wewe Unanichanganya Ett "
"Me Nakuambia Huu Ni Ukwel Mungu Shaidi Nilipo Hap Njia Panda Hata Sielew ,,"
"Ngja 2one Hatma Yake Itakua Wap Kwenye Ili Jambo Mm Nisikulupuke Maana Wewe Hujakulupuka Umelifkilia Kwa Makn Na Kumuomb Mungu Kama Unavyoxema Na Me Niache Nimuombe Mungu 2one Ad Mwisho"
[emoji23][emoji23][emoji23]Mpenzi wangu kaniacha, kasema ameota anavishwa Pete na mtu mwingine, hivyo kasema mm sio mpango wa Mungu kwake.
Ni fanye nini mm.
( Huu ni ujumbe niliotumiwa na rafiki yangu Jana anaomba tumshauri)