Naombeni ushauri

F Futa namba za huyo mwanamke, usimuambie chochote mme wako kuhus huyo.mwanamke wake, akikupigia uyo mwanamk usimpokeelee wala usimjib msg, wewe fanya majukum yako kwa mme wako, mpend muonesh upendo, fanya kama hujui kitu japokua unajua na wala usiyafatilie tena, kuhus mawif zako achana nao, wakikusalimia waitikie vzr t ila hayo mamb yao hata ukiona status zao ww kaa kimya usiseme kitu, muache Mungu aamue.
 
Pole sana mkuu
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…