Naombeni uzoefu wa induction cooker: Je ni kweli linatumia umeme kidogo? Je lina unafuu wa gharama kuliko gesi?

Naombeni uzoefu wa induction cooker: Je ni kweli linatumia umeme kidogo? Je lina unafuu wa gharama kuliko gesi?

Mamaya

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2011
Posts
5,067
Reaction score
4,434
Salamu wadau!ambao mmewahi au mnatumia aina hii ya jiko naombeni uzoefu wenu, maana gesi ulimepanda sana bei, ninekuta muuzaji mmoja ameniambia linautumia umeme kidogo sana, 1unit per hour. Sasa nikasema za kuambiwa changanya na za kwako.

Nawasilisha
 
Wakiuliza picha?

7057DB1B-9D79-447F-9CC9-1BD60486CC1D.jpeg
 
Salamu wadau!ambao mmewahi au mnatumia aina hii ya jiko naombeni uzoefu wenu, maana gesi ulimepanda sana bei, ninekuta muuzaji mmoja ameniambia linautumia umeme kidogo sana, 1unit per hour. Sasa nikasema za kuambiwa changanya na za kwako.

Nawasilisha

ukiliset to 'full mode', linalamba 2 units kwa lisaa
 
Mimi ninalo la plate mbili, ila naona wife anapendelea kutumia gesi....nafikiri kwa mapishi ya muda mrefu bado linakula umeme, labda kwa kupasha vyakula na kuchemsha vitu kama maziwa.
 
Salamu wadau!ambao mmewahi au mnatumia aina hii ya jiko naombeni uzoefu wenu, maana gesi ulimepanda sana bei, ninekuta muuzaji mmoja ameniambia linautumia umeme kidogo sana, 1unit per hour. Sasa nikasema za kuambiwa changanya na za kwako.

Nawasilisha
Natumia hili jiko kwa miakakaribia 8 sasa nlianza kutumia plate moja na sasa natumia plate 2 umeme nalipa 9000 linasaidiana na gass ambayo natumia ya kg15 kila mwezi
 
Natumia hili jiko kwa miakakaribia 8 sasa nlianza kutumia plate moja na sasa natumia plate 2 umeme nalipa 9000 linasaidiana na gass ambayo natumia ya kg15 kila mwezi
Ni very econ hujawahi pata kuona wewe linunue tu wala usiliogope
 
Back
Top Bottom