NAOMI Campbell has revealed she has become mother at the age of 50

NAOMI Campbell has revealed she has become mother at the age of 50

Vipi na sisi tunaotegemea wake zetu wajifungulie Miembeni dispensary tunaruhusiwa kuwazalisha at 50?

Sent from my TECNO K8 using JamiiForums mobile app
Maisha hayana formula, rafiki yangu akiwa 52 hakua anajisikia vizuri. Wakati huo last born ameanza chuo, amekwenda kwa daktari anaambiwa ana ujauzito wa miezi mitano.

Anasema aliona aibu, kanisani yeye ni Mwenyekiti wa wanawake, analetewa matatizo ya ndoa za vijana sasa leo anaenda labour na vijana!

Alijifungua salama bila kisu.
 
Maisha hayana formula, rafiki yangu akiwa 52 hakua anajisikia vizuri. Wakati huo last born ameanza chuo, amekwenda kwa daktari anaambiwa ana ujauzito wa miezi mitano.

Anasema aliona aibu, kanisani yeye ni Mwenyekiti wa wanawake, analetewa matatizo ya ndoa za vijana sasa leo anaenda labour na vijana!

Alijifungua salama bila kisu.
Du! Aisee kweli Mungu hapangiwi,chochote kinawezekana

Sent from my TECNO K8 using JamiiForums mobile app
 
Maisha hayana formula, rafiki yangu akiwa 52 hakua anajisikia vizuri. Wakati huo last born ameanza chuo, amekwenda kwa daktari anaambiwa ana ujauzito wa miezi mitano.

Anasema aliona aibu, kanisani yeye ni Mwenyekiti wa wanawake, analetewa matatizo ya ndoa za vijana sasa leo anaenda labour na vijana!

Alijifungua salama bila kisu.
Q
Rafikiyo akiwa 52 years na via vya uzazi viko bulbul! Daah! Aunt Sky Eclat tuulizie anakulaga nini nimuanzishie diet hapa mkweo tufyatue tu hadi malaika wa uzazi aingilie kati.
 
Maisha hayana formula, rafiki yangu akiwa 52 hakua anajisikia vizuri. Wakati huo last born ameanza chuo, amekwenda kwa daktari anaambiwa ana ujauzito wa miezi mitano.

Anasema aliona aibu, kanisani yeye ni Mwenyekiti wa wanawake, analetewa matatizo ya ndoa za vijana sasa leo anaenda labour na vijana!

Alijifungua salama bila kisu.
Mungu wangu! [emoji848]are you serious??[emoji87][emoji24]eeh Mungu anaishi jamani[emoji119][emoji119]
 
Back
Top Bottom