mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Weka hizo audio za mahojiano na wasafi na hiyo copy ya email,, au la tusubiri kesho.Kwanza kabisa me Ni mshabiki wa Simba nakiri hili lakini hapa sitachambua Kama mshabiki wa Simba Bali Kama mshabiki wa Soka.Kwa Hili sakata linaloendelea naona kabisa BM hatachomoka kwenye Hili sakata ukiangalia kwa makini utaona hili...
vipi kuhusu simba waliosain mchezaji mwenye mkataba na timu nyingine, hawatapewa adhabu?Hili swala bado ni gumu kwa Yanga hata kama wakishinda hii kesi, mchezaji hata awe na mkataba na timu kama hataki kuchezea hiyo timu watalazimika kuuvunja mkataba au kumuuza kwa hasara kwasabab mchezaj kama hana utayari wa kuchezea timu yako ataleta viroja vya kila aina hata kutohudhuria mazoezi, tulishaona hata kwa Angel Di Maria alichofanya pale Man utd, kwaiyo katika hili Yanga still ni losers kwa vyovyote.
...ata yule Eng Ers aliwahi kusema pale Wasafi kwamba BM alimfuata akamwambia kwamba amepata tm yenye mkataba mnono hivyo anaomba avunje mkataba ...
Ni kweli alihojiwa Wasafi ni Morison?Wakati BM alikuwa akihojiwa kwa njia ya simu na Wasafi FM kupitia kipindi Cha sports Arena hapo ikiwa hajaingia mgogoro na Yanga alikiri kabisa amesaini mkataba na Yanga
Kwa tuliosoma hesabu za probability, hata hiyo 0.1% inaweza ikampa ushindi Morrison na Yanga ikashindwa kwa hiyo uliyoiita 99.9%. Ukubwa wa probability haumaanishi kwamba lazima iwe hivyo, labda ungesema 100%Naona 99.9% Yanga anashinda dhidi ya Morrison
Muulize bale na zidane nani mshindiHili swala bado ni gumu kwa Yanga hata kama wakishinda hii kesi, mchezaji hata awe na mkataba na timu kama hataki kuchezea hiyo timu watalazimika kuuvunja mkataba au kumuuza kwa hasara kwasabab mchezaj kama hana utayari wa kuchezea timu yako ataleta viroja vya kila aina hata kutohudhuria mazoezi, tulishaona hata kwa Angel Di Maria alichofanya pale Man utd, kwaiyo katika hili Yanga still ni losers kwa vyovyote.
Ungekaa kimya sasa.Akili za kijinga siku tano kumzungumzia mjinga mmoja asie na tija kwa nchi. Kweli Tanzania IQ ndogo sana. Fanya kazi.
Kwahiyo kadanganya kusema amesaini yanga?Kuna mkataba wa kusema? Mimi sasa hivi nikisema ni mchezaji wa yanga je nitakuwa ni mchezaji wa yanga pasipo uthibitisho wa maandishi?
Kwanza kabisa me Ni mshabiki wa Simba nakiri hili lakini hapa sitachambua Kama mshabiki wa Simba Bali Kama mshabiki wa Soka.Kwa Hili sakata linaloendelea naona kabisa BM hatachomoka kwenye Hili sakata ukiangalia kwa makini utaona hili.
BM Amejitia kitanzi mwenyewe
Wakati BM alikuwa akihojiwa kwa njia ya simu na Wasafi FM kupitia kipindi Cha sports Arena hapo ikiwa hajaingia mgogoro na Yanga alikiri kabisa amesaini mkataba na Yanga na akasema kabla ya kusaini Yanga alikuwa anatakiwa na team 3 za South Africa ikiwemo team ya Ajax Capetown.Huu Ni mkataba ule wa miezi 6 baada ya Yanga kuridhika na huduma Yake wakataka kumuongezea mkataba ndipo BM akasaini kwa miaka miwili baada ya kusaini BM akaongezea akasema baada ya yeye kusaini akawa anapewa maneno kwamba team ya Yanga hailipi mishahara wachezaji wake kwa wakati,haiendeshwi kiprofessionalism ndipo akaona Bora awaombe kuvunja mkataba nao huku Kuna baadhi ya offer akawa amepokea ikiwemo ya Simba.
Ukiachana na hapo tukaona email ya BM mtandaoni akiomba Yanga kucancel extension ya mkataba.kwenye Hili unajiuliza Kama ajasaini mkataba na Yanga inakuaje kwenye email yake anaomba acancel extension ya mkataba wake?
So ukitazama kwa ujumla wake bila ushabiki unaona kabisa jamaa anajifunga mwenyewe kwa Hali kama hii unaanzaje kumuamini BM?
Kwa upande wa Simba
Uongozi wangu wa Simba ulifanya kosa kubwa Sana kumtambulisha kumsajili Morrison mapema wangesubiri kwanza kesi ya Yanga na BM iishe Kama walivyoshauriwa na "Senzo" lakini kwa akili ya uswahili wa viongozi wakaenda against.Kwa maana hii Kama Yanga itashinda lazima watafungua kesi dhidi ya Simba kumsajili mchezaji wao mwenye "mkataba".
Shida ya Yanga navyoona si kumtaka Morrison kwa sababu mawasiliano yake na Yanga yashakufa teyali ila lengo Ni Kutaka kumkomoa Morrison sambamba na Simba.Hili swala bado ni gumu kwa Yanga hata kama wakishinda hii kesi, mchezaji hata awe na mkataba na timu kama hataki kuchezea hiyo timu watalazimika kuuvunja mkataba au kumuuza kwa hasara kwasabab mchezaj kama hana utayari wa kuchezea timu yako ataleta viroja vya kila aina hata kutohudhuria mazoezi, tulishaona hata kwa Angel Di Maria alichofanya pale Man utd, kwaiyo katika hili Yanga still ni losers kwa vyovyote.
Kwa kifupi tu ni kwamba Morrison alijichanganya na tamaa za mikataba ya hapa na pale,ata yule Eng Ers aliwahi kusema pale Wasafi kwamba BM alimfuata akamwambia kwamba amepata tm yenye mkataba mnono hivyo anaomba avunje mkataba na hapo ndipo ugumu ulipo kuja akaanza mgomo wa kutosafiri na tm to Shinyanga kucheza na Mwadui,so hapa BM anajaribu kuukana mkataba wake wa halali na Yanga,sidhan kama this time atabakia salama,maana ata huko alikotoka ilikuwa n vurugu tu,Pale Orlando Pirates,Mara As Vita..kote huko aliacha Gumzo,na inavyoonekana akifika sehem anaanza vurugu ili mkataba uvunjwe ili awe free agent na apige pesa,BM anatumia ujanja wa watu wa A.Magharibi kupiga pesa.
Lengo ya Yanga sio kumuhitaji Tena Morrison Bali tuthibitishia umma Wana mkataba wa halali na BM baada ya hapo watataka kumkomoa BM kwa kumpa benchi mechi zote au kupata fedha kwa kumuuza BM kwa team wanayotaka wao.Kumbuka ya Macherano na Liverpool. Mchezo wa mpira ni utashi zaidi ya mkataba. Vyombo cha mpira huangalia pande zote sio kulazimishana. Ukweli ni kuwa hata kama Yanga watapewa haki hawatakua na faida nayo sababu tayari kuna service conflict.
Tatizo la hapa jukwaani ukiwa mada ikiwa imelalia upande mmoja watakutuhumu upo upande huo ndio maana nimewataazalisha mapema.Kwan ukiweka tu hoja makini bila kuegemea upande wowote itakuaje? Kwa nn ujiseme wewe ni SIMBA AU YANGA? Ili iweje? Tubadilike ktk utoaji wa hoja na maoni yetu
Soma hiyo Wikipedia mwanzo inaonyeshwa kazaliwa 20 may1988 na mwisho inasema 25 jan 1995. so taarifa za Bm ni za kihuniView attachment 1534576
Current Club is ...[emoji1][emoji1] Wikipedia wako mbio
Soma hiyo Wikipedia mwanzo inaonyeshwa kazaliwa 20 may1988 na mwisho inasema 25 jan 1995. so taarifa za Bm ni za kihuni