Naona aibu kujiita Mtanzania

Naona aibu kujiita Mtanzania

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Naona aibu kujiita Mtanzania mbele ya Mataifa mengine kwasababu nchi yangu ina tatizo la umeme lisilokwisha zaidi ya miaka sitini. Naona aibu ya kujitambulisha kwasababu nitachekwa na nchi nyingine kuwa natoka nchi yenye matatizo yanayosababishwa na ujinga wa baadhi ya viongozi
 
Naona aibu kujiita Mtanzania mbele ya Mataifa mengine kwasababu nchi yangu ina tatizo la umeme lisilokwisha zaidi ya miaka sitini. Naona aibu ya kujitambulisha kwasababu nitachekwa na nchi nyingine kuwa natoka nchi yenye matatizo yanayosababishwa na ujinga wa baadhi ya viongozi
Hata sisi kama watanzania tunaona hautufai hamia burundi
 
Tatizo ni CCM
Nina uhakika kuwa leo hii ukapata uraia wa China, Japan au Marekani hutawahi kurudi hapa kwasababu changamoto zote zinazosumbua Tanzania hutakutana nazo tena. Tanzania tutafanikiwa pale tutakapopata viongozi wanaochukia ujinga
 
Nina uhakika kuwa leo hii ukapata uraia wa China, Japan au Marekani hutawahi kurudi hapa kwasababu changamoto zote zinazosumbua Tanzania hutakutana nazo kule
Nina kipaji nimezaliwa nacho. Nimekuwa nashare na jamaa zangu kutoka nchi zilizoendelea kwani hapa ncbini wanahitaji mtu mwenye hofu ya CCM zaidi ya uzalenso na potentials
 
Naona aibu kujiita Mtanzania mbele ya Mataifa mengine kwasababu nchi yangu ina tatizo la umeme lisilokwisha zaidi ya miaka sitini. Naona aibu ya kujitambulisha kwasababu nitachekwa na nchi nyingine kuwa natoka nchi yenye matatizo yanayosababishwa na ujinga wa baadhi ya viongozi
Ukiondoa aibu ya kukosekana umeme kuna aibu hii nyingine ya kutaka starlink ya elon musk ili iweze kufanya TZ basi ifungue ofisi!
 
Sipati picha China na Japan wakitutazama wanatufikiriaje, hivi kweli karne hii ya sisi kuhangaika na umeme wakati wao wanahangaika kuhamia sayari nyingine
Huko uñaenda mbali mkuu ,hatq Uganda wanatushangaq ,tunakaaje na tatizo miaka yote hii Heri yetu sisi wa Kamachumu tunakula mema ya Uganda
 
Umasikini wa Tanzania ni matokeo ya maagano ni ngumu sana kuvuka mstari wa umasikini uliowekwa.
Shida ya umeme ni muendelezo ule ule wa kuua uzalishaji wengi wabakie huko.
 
Back
Top Bottom