Naona aibu kujiita Mtanzania

Naona aibu kujiita Mtanzania

Sasa mwanangu huko mataifa mengine na umeme wa hapa vinauhusiano kweli.

Nyie wasomi ndo mna dhamana ya kuisaidia serikali kutatua tatizo la umeme.
 
Sasa mwanangu huko mataifa mengine na umeme wa hapa vinauhusiano kweli.

Nyie wasomi ndo mna dhamana ya kuisaidia serikali kutatua tatizo la umeme.
Tunashindwa kujua namna gani ya kutatua Mheshimiwa,
Kuna tatizo kubwa hapa, ukijaribu kutatua matatizo wapo watu wanaojitokeza kupingana na wewe sijui Taifa letu lina laana ya mafanikio ama lah
 
Tunashindwa kujua namna gani ya kutatua Mheshimiwa,
Kuna tatizo kubwa hapa, ukijaribu kutatua matatizo wapo watu wanaojitokeza kupingana na wewe sijui Taifa letu lina laana ya mafanikio ama lah
Nimependa ulivyoniita Mheshimiwa,
aise kunywa chochote yaani kimiminika chochote, nitumie bili mjukuu wangu
 
Nimependa ulivyoniita Mheshimiwa,
aise kunywa chochote yaani kimiminika chochote, nitumie bili mjukuu wangu
Asante sana Mheshimiwa, unastahili kupewa cheo hiki, napata soda moja hapa nitawasilisha bili 🙏
 
Hadi Gulu amalize zile kontena za Majenereta mtakuwa mmeunguza na kuharibikiwa vitu vingi Sana.
 
Wanatuona manyani
Yaani haijapata kutokea nchini, wananchi wakaanza vuguvugu la kuhamasishana kuikataa CCM muda mchache kabla ya uchaguzi.

Tumezoea kusikia tambo za wanasiasa wakikosoa na kulaani. This time wananchi wanasimama na kusema ya moyoni.

CCM isidhani wanaoikosoa ni wapinzani. Humu mitandaoni na mitaani wanaojenga hoja sasa za kuikosoa na kuikataa ni makada wake mimi nikiwemo
 
Kama anavyosema mleta mada, ukitoka nje ya nchi, unawezadhani watu wanaijua nchi yetu na kila linaloendelea kama wewe unavyozijua nchi za watu hasa kubwakubwa.

Lakini ni kinyume, unakutana na mtu unamwambia we mtanzania, unakuta wala haijui hiyo Tanzania! na kama anaijua basi anaijua kwa jambo moja specific na hana jingine analolijua.

Yaani hizi nchi zetu sio popular kama mtu anavyoweza kudhani[emoji23]
 
Kama anavyosema mleta mada, ukitoka nje ya nchi, unawezadhani watu wanaijua nchi yetu na kila linaloendelea kama wewe unavyozijua nchi za watu hasa kubwakubwa.

Lakini ni kinyume, unakutana na mtu unamwambia we mtanzania, unakuta wala haijui hiyo Tanzania! na kama anaijua basi anaijua kwa jambo moja specific na hana jingine analolijua.

Yaani hizi nchi zetu sio popular kama mtu anavyoweza kudhani[emoji23]
Zinakosa umaarufu pale viongozi wake wanapokosa mashiko kwa Wananchi
Kipindi cha Mwl Nyerere na Magufuli dunia kwa ujumla ilikuwa ikiifuatilia sana Tanzania
 
Naona aibu kujiita Mtanzania mbele ya Mataifa mengine kwasababu nchi yangu ina tatizo la umeme lisilokwisha zaidi ya miaka sitini. Naona aibu ya kujitambulisha kwasababu nitachekwa na nchi nyingine kuwa natoka nchi yenye matatizo yanayosababishwa na ujinga wa baadhi ya viongozi
Kuna sisi tulishaachana na hilo jina kitambo... Sisi tunajitambulisha kama Watanganyika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom