Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Viongozi wanajiwazia wao na familia zaoUzalendo tunaupenda lakini viongozi wanatuangusha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Viongozi wanajiwazia wao na familia zaoUzalendo tunaupenda lakini viongozi wanatuangusha
Hahahaha,mie mwenzio nimehamia upande wa mama 😂😂Naona aibu kujiita Mtanzania mbele ya Mataifa mengine kwasababu nchi yangu ina tatizo la umeme lisilokwisha zaidi ya miaka sitini. Naona aibu ya kujitambulisha kwasababu nitachekwa na nchi nyingine kuwa natoka nchi yenye matatizo yanayosababishwa na ujinga wa baadhi ya viongozi
Zanzibar wanalalamikia muungano hawautaki wanadai wamekandamizwa haya mambo yamekuwa ya kulazimishanaKuna sisi tulishaachana na hilo jina kitambo... Sisi tunajitambulisha kama Watanganyika
Sent using Jamii Forums mobile app