Naona aibu kujiita Mtanzania

Hahahaha,mie mwenzio nimehamia upande wa mama 😂😂
 
Kuwa mtanzania asilimia 100 nahisi ni tatizo, walau kdg uchanganye utaifa inasaidia
 
Inasikitisha mno mtu anatoka nyumbani tena mkewe kampikia chai anawahi kwenda kukata umeme.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…