ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Njia ya mtwaraHingawali A
Cordless but kama Hana line bado italeta msg kwenye line aliyosajili ambapo bado itakuwa ngumu kwakeToa kwa cardless ATM kama ni CRDB. NMB sijui
nishawahi kulala pale, kitambo sanaNjia ya mtwara
Usione soo we toa tu...mie niliwahi kubanwa ila ilikuwa airtel money nikatoa buku 2.😆😆
Kwanini aanze kujieleza, huoni atavuliwa vyeo kabisaNa wewe baharia unaniangusha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nenda jifanye umekatiwa na hela ya mafuta njiani teh na umesahau wallet yenye ATM na hela [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaa hata skuwa nimesoma uzi. Kumbe hata line hana!!Cordless but kama Hana line bado italeta msg kwenye line aliyosajili ambapo bado itakuwa ngumu kwake
Hata ingekua sh 3000. Mbona mimi sioni tatizo lolote naitoa tu, sijui wa Africa tuna tatizo ganiGame tafu sana Wakuu ikabidi nikumbuke nina kachenji uchafu kalibaki CRDB, ndio kwenda kuhakikisha balance nikaambiwa kuna 15800 sasa kibaya sina card ya ATM, ilipotea na hata sim banking line niliyosajilia siitumii ilipotea kwa hiyo option hapa ni kutoa kwa kutumia card ya NIDA kwa teller.
Nimejaza mpaka form ya kutoa ila naona nishai kwa sababu teller ni mrembo, nashindwa kwenda kifua mbele bila wasiwasi kutoa pesa yangu nikadake smart na ka mo energy.
View attachment 2904818
uoga na aibu yako ndio ndio umaskini wako🐒Game tafu sana Wakuu ikabidi nikumbuke nina kachenji uchafu kalibaki CRDB, ndio kwenda kuhakikisha balance nikaambiwa kuna 15800 sasa kibaya sina card ya ATM, ilipotea na hata sim banking line niliyosajilia siitumii ilipotea kwa hiyo option hapa ni kutoa kwa kutumia card ya NIDA kwa teller.
Nimejaza mpaka form ya kutoa ila naona nishai kwa sababu teller ni mrembo, nashindwa kwenda kifua mbele bila wasiwasi kutoa pesa yangu nikadake smart na ka mo energy.
View attachment 2904818