Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
umaskini Jeuri ni kitu mbaya sana 🐒Hata ingekua sh 3000. Mbona mimi sioni tatizo lolote naitoa tu, sijui wa Africa tuna tatizo gani
R I P Laigwanan comrade ENL
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umaskini Jeuri ni kitu mbaya sana 🐒Hata ingekua sh 3000. Mbona mimi sioni tatizo lolote naitoa tu, sijui wa Africa tuna tatizo gani
Hahahahaha..kwani huyo teller unataka kumtongoza? afya ya akili ni tatizo
Kijana ameathirika na maneno ya JF .Kwani alikusaidia kuitafuta hiyo pesa!
Duh! Wee mwamba na kweli umeitoa unanunua energy na kasungula? I see!Aibu niliweka kando nikavaa sura ya mbuzi mbele ya mtoto mweupe maokoto yanaendelea ya plisner na kisungura baadae tunachamba koo kwa safari kubwa na ugali dagaa
Nimekupenda bure wewe manka I seee!Yesuu aibu kwa hela yangu, ebu nenda katoe aisee
Sasa si anaona aibu mkuu tufanyaje sisiKwanini aanze kujieleza, huoni atavuliwa vyeo kabisa
Aende ajiamini, atoe as if anatoa million yanii awe mkavuuu