Naona aibu kutoa 10,000 kwa teller maana sina ATM card wala sim banking

Aibu niliweka kando nikavaa sura ya mbuzi mbele ya mtoto mweupe maokoto yanaendelea ya plisner na kisungura baadae tunachamba koo kwa safari kubwa na ugali dagaa
Duh! Wee mwamba na kweli umeitoa unanunua energy na kasungula? I see!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…