Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #321
Asante sana bro bora umeingilia katiWachangiaji wengi mliomponda mtoa mada, cjui mnajitoa ufahamu, hamjui jinsi gani ilivo aibu kuuza vitu barabarani kwa kuvitembeza.. especially kama mtu una degree..bcoz degree Inakujaza matumaini makubwa bila kitu
Youtube nliangalia video ya gatesnotes yani hata wale ambao hawana elimu kubwa, wanaona aibu kuuza vitu mtaani kwa kuvitembeza.
Kwa wengi, hiyo ni kazi inayodhalilisha sana utu wa mtu, heri kazi ya kudeki vyoo vya stendi, kuosha vyombo hotelini, u-waiter wa mgahawa..etc
Tatizo juani siwez nina matatizo ya kuuma kichwa na macho mkuuAtakapojua hakuna atakayempa hata senti maisha haya atajua kwamba alikuwa hajui
Hayo ni mawazo yako pia lazima nizingatie demokrasiaNimeusoma uzi wako na nimeuelewa vizuri.. lengo lako ni:
1.Kuwasema "ma graduate"kwa namna tofauti ..
(umeamua kuwaponda kwa kujivika uhusika na ku assume tabia zao za kubagua kazi huku wakiishi maisha tegemezi na umri wao ukiwa umekwenda - (kijana mdogo 26yrs))
2. Kuwaponda watu waliosoma na hawataki kufanya "vibiashara vya machinga" au kujiajiri.
Acha usanii
Naomba hiyo kazi ya bucha ni afadhari kuliko hiiMpwayungu unatuaibisha ndo maana watani hututania " wagogo tuwavivu" KAZI YA OFISINI.SIhata kuuza bucha Ni ofisi
Aza watajuaje unafanya biashara Kati unafanya kisirisiriSawa,Huwezi hadharani, kwa siri je? unaweza?, yaani usijulikane unauza maji wateja waje wanunue kisiri siri.
We jamaa vpKwa huo uandishi tu unastahili hyo biashara kuifanya
Jiajiri kuwa mwanasiasa. Mtaji mdomo wakoNdio ya political science and public administrationr
Sina followers wala majority supportJiajiri kuwa mwanasiasa. Mtaji mdomo wako
Unaweza ukawa na sababu kujaa dunia nzima. Wewe ni whiner. Na logoffTatizo juani siwez nina matatizo ya kuuma kichwa na macho mkuu
Hiyo political science ya udsm imekusaidia nini? Am not sure kama inafundisha kuwa wana siasa au vipi..Sina followers wala majority support
Nakula kwa kaka sio shemeji maana anaetafuta pesa ni kaka anguHiyo political science ya udsm imekusaidia nini? Am not sure kama inafundisha kuwa wana siasa au vipi..
Lkn Nikuulize..wana siasa wote unaowajua walianza na followers au walianzia chini bila wafuasi?
Tatizo lako ni moja..unaogopa/hutaki kuanzisha jambo kuanzia chini that's y hata hiyo biashara ya maji unaona aibu.
Na utakaa hapo kwa shemeji yako mpaka yesu arudi.
Haya shikilia hapo hapo. Buku kwa Siku inakutosha..Nakula kwa kaka sio shemeji maana anaetafuta pesa ni kaka angu
Sasa si uyauze upate mtaji wa unachotaka kufanya?Kashanunua maji tatizo