MAMESHO
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 1,432
- 1,738
Avae boshori na mask.Sawa,Huwezi hadharani, kwa siri je? unaweza?, yaani usijulikane unauza maji wateja waje wanunue kisiri siri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Avae boshori na mask.Sawa,Huwezi hadharani, kwa siri je? unaweza?, yaani usijulikane unauza maji wateja waje wanunue kisiri siri.
Mambo ya sirini sirini si mazuri sana sana kwa mwanaume.Avae boshori na mask.
Mpwayungu unatuaibisha ndo maana watani hututania " wagogo tuwavivu" KAZI YA OFISINI.SIhata kuuza bucha Ni ofisiNataka kazi ya kukaa ofisini
Kalamaganda anaita degree kutoka jalalani[emoji26]Wewe una degree UDSM? wewe huyo?[emoji849]
Ama kweli
PSPA mabishoo ila mtaani kutakunyoosha hao unaoogopa watakucheka they won't pay your billsHabari zenu jamani mimi ni kijana mdogo mwenye umri wa miaka 26 nimemaliza chuo cha Dar es salaam mwaka jana. See saizi nipo apa Dar es salaam Tandika nakaa na kaka angu ndoananipiga jeki nakaa kwake akienda kazini na mke wake wananiachia buku tu la msosi usiku wakirudi shemeji anapika msosi tunaufinya.
Changamoto ilianza majuzi huyu shemeji Ana roho mbaya kweli kumbe kipindi chote kaka angu huwa anampa 2000 ili anipe pesa ya msosi afu yeye anakata ananipa buku, nilikuja kugundua juzi broo aliposema kwa sauti nanukuu.,(hiyo buku mbili utampa dogo ya msosi) nikasema afadhari nitanunua namm Leo chips [emoji489] na Pepsi nijimwayemwaye, Sasa chaajabu shemeji akaja kunipa buku tu hapo tukaanza kugombana sasa akaanza kunifyezuri na kunifedheshesha mbele ya majirani wa kizaramo wavaa vijora, akisema tena kwa sauti ati amenichoka najaza kitambi tu kazi Sina nabweteka Kati pesa nizakaka angu.
Jana ilibidi yote nimwambie broo huku nikiwa na hasira sana kuliko mwanaume aliyemfumania mkewe . Broo akaniambia yote yaishe atanipa mtaji wa kazi.
SASA chaajabu Leo asubuhi naona ameniletea maji ya uhai kama Dazani tano hivi na MO energy kama dazani saba eti anasema nisimame kwenye mataa ya Sudani Temeke nianze kuuza huku nimebeba mimaji kichwani amesahau kuwa mimi nina degee kutoka UDSM chaajabu hajaniachia hata sent mpaka mdaa huu sielewi nakula nini wenyewe wameenda kazini, naombeni ushauri nifanyeje.
Nuzulati unataka kumuua huyu sharobaro wa watuView attachment 1970934
Usifanye biashara hiyo una jichoresha mkuu njoo huku tubebe zege
Kama mimi nabeba Zege na uhakika hata yeye atawezaNuzulati unataka kumuua huyu sharobaro wa watu
Mkuu akija huko mwagie cement kichwani na mwili mzima fanya kama una mbatiza.. ili awe muumini wa kubeba zegeView attachment 1970934
Usifanye biashara hiyo una jichoresha mkuu njoo huku tubebe zege
Bora huyu kuliko fedhea kukaa kwa watu kulishwa kusakamwa, zege la muda huku anafatilia michogo taratibu.Kwann sasa umeamua kujitesa
UDSM umesoma nini?Habari zenu jamani mimi ni kijana mdogo mwenye umri wa miaka 26 nimemaliza chuo cha Dar es salaam mwaka jana. See saizi nipo apa Dar es salaam Tandika nakaa na kaka angu ndoananipiga jeki nakaa kwake akienda kazini na mke wake wananiachia buku tu la msosi usiku wakirudi shemeji anapika msosi tunaufinya.
Changamoto ilianza majuzi huyu shemeji Ana roho mbaya kweli kumbe kipindi chote kaka angu huwa anampa 2000 ili anipe pesa ya msosi afu yeye anakata ananipa buku, nilikuja kugundua juzi broo aliposema kwa sauti nanukuu.,(hiyo buku mbili utampa dogo ya msosi) nikasema afadhari nitanunua namm Leo chips [emoji489] na Pepsi nijimwayemwaye, Sasa chaajabu shemeji akaja kunipa buku tu hapo tukaanza kugombana sasa akaanza kunifyezuri na kunifedheshesha mbele ya majirani wa kizaramo wavaa vijora, akisema tena kwa sauti ati amenichoka najaza kitambi tu kazi Sina nabweteka Kati pesa nizakaka angu.
Jana ilibidi yote nimwambie broo huku nikiwa na hasira sana kuliko mwanaume aliyemfumania mkewe . Broo akaniambia yote yaishe atanipa mtaji wa kazi.
SASA chaajabu Leo asubuhi naona ameniletea maji ya uhai kama Dazani tano hivi na MO energy kama dazani saba eti anasema nisimame kwenye mataa ya Sudani Temeke nianze kuuza huku nimebeba mimaji kichwani amesahau kuwa mimi nina degee kutoka UDSM chaajabu hajaniachia hata sent mpaka mdaa huu sielewi nakula nini wenyewe wameenda kazini, naombeni ushauri nifanyeje.
Kweli hajachezea za uso vizuri hiyo jamaa..Maisha hayajakupiga
Atakapojua hakuna atakayempa hata senti maisha haya atajua kwamba alikuwa hajuiMambo ya sirini sirini si mazuri sana sana kwa mwanaume.
Amua unafanya ama hufanyi ukiwa na sababu za msingi za hayo maamuzi.
Hapo ndio ujue kuwa ile buku 2 inavyotafutwaHabari zenu jamani mimi ni kijana mdogo mwenye umri wa miaka 26 nimemaliza chuo cha Dar es salaam mwaka jana. See saizi nipo apa Dar es salaam Tandika nakaa na kaka angu ndoananipiga jeki nakaa kwake akienda kazini na mke wake wananiachia buku tu la msosi usiku wakirudi shemeji anapika msosi tunaufinya.
Changamoto ilianza majuzi huyu shemeji Ana roho mbaya kweli kumbe kipindi chote kaka angu huwa anampa 2000 ili anipe pesa ya msosi afu yeye anakata ananipa buku, nilikuja kugundua juzi broo aliposema kwa sauti nanukuu.,(hiyo buku mbili utampa dogo ya msosi) nikasema afadhari nitanunua namm Leo chips [emoji489] na Pepsi nijimwayemwaye, Sasa chaajabu shemeji akaja kunipa buku tu hapo tukaanza kugombana sasa akaanza kunifyezuri na kunifedheshesha mbele ya majirani wa kizaramo wavaa vijora, akisema tena kwa sauti ati amenichoka najaza kitambi tu kazi Sina nabweteka Kati pesa nizakaka angu.
Jana ilibidi yote nimwambie broo huku nikiwa na hasira sana kuliko mwanaume aliyemfumania mkewe . Broo akaniambia yote yaishe atanipa mtaji wa kazi.
SASA chaajabu Leo asubuhi naona ameniletea maji ya uhai kama Dazani tano hivi na MO energy kama dazani saba eti anasema nisimame kwenye mataa ya Sudani Temeke nianze kuuza huku nimebeba mimaji kichwani amesahau kuwa mimi nina degee kutoka UDSM chaajabu hajaniachia hata sent mpaka mdaa huu sielewi nakula nini wenyewe wameenda kazini, naombeni ushauri nifanyeje.
🤣🤣Atakapojua hakuna atakayempa hata senti maisha haya atajua kwamba alikuwa hajui
Huyu anatusanifu hapa anatuletea mambo ya TATEPAWewe una degree UDSM? wewe huyo?[emoji849]
Ama kweli
Vp nikikutana natuliosoma nao