Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Jiunge chademaNina political science and public administration
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiunge chademaNina political science and public administration
Vaa kapelo pumbavuuuSijawahi wala sijazoea kufanya kazi kwenye jua kali nina matatizo ya kichwa kuuma na macho pia
Yaani unaogopa watu??? Nenda karesit Fm4Sasa wakiniona watu tuliosoma nao chuo je
Acha kunifosi nimekwambia siwezi kazi hiyoVaa kapelo pumbavuuu
Subiri shemeji yako aanze kukwambia umsaidie kazi zake ndio utaelewa somoAcha kunifosi nimekwambia siwezi kazi hiyo
Kwahiyo avae Kama lile la konde boy leo nataka kukutoa outingia road
vaa mask
piga kazi
Asante nimeipata umeupiga mwingiWewe utakuwa una kijana kamaliza chuo, Sasa unaona anashangaa shangaa na maisha hapo kwako ukaona uje uanzishe uzi huku, lakini kusema kweli vijana wahitimu wa vyuo mbalimbali hususani ktk karne hii ya 21, tupo na changamoto nyingi sana kwa sababu mbalimbali ikiwemo mfumo wa elimu, mabadiliko ya sayansi na teknolojia, mifumo ya maisha ya kileo nk.
Moja,Unajikuta upo na material mengi kichwani uliyoyasoma, lakini hayana uhusiano wa moja kwa moja na mahitaji ya mtaani huku.
Pili, unaweza kuwa na idea nzuri tu inayohitaji reasonable capital, lakini kukosa mtaji huu kunakufanya uanzie chini kabisa huko ambapo Kama huna moyo wa uvumilivu waweza feli.
Tatu, tunapokuwa vyuoni huwa tunasahau kudumisha mtaji mahusiano na wale ambao hawakupata fursa ya kuendelea na masomo ambao pindi tunapomaliza ndo wana ABCs nzuri za mtaani, hii nayo ni changamoto.
Mwisho, kwa wale ambao bado mpo vyuoni hakikisheni mnakuwa na mpango mkakati wa Nini utafanya baada ya kumaliza masomo yako, usiishie kuwa na mpango tu bali utafutie uzoefu huo mpango unapopata muda Kama weekend, likizo na siyo unapopata muda kuishia kuangalia movie na mambo mengine yasiyo ya msingi muda wote.
Nataka kazi ya kukaa ofisiniNichek uje tufuge mifugo ya warumi
Pambana usione aibu angalia wewe utanufaika nini sio hao unao waogopaHabari zenu jamani mimi ni kijana mdogo mwenye umri wa miaka 26 nimemaliza chuo cha Dar es salaam mwaka jana. See saizi nipo apa Dar es salaam Tandika nakaa na kaka angu ndoananipiga jeki nakaa kwake akienda kazini na mke wake wananiachia buku tu la msosi usiku wakirudi shemeji anapika msosi tunaufinya.
Changamoto ilianza majuzi huyu shemeji Ana roho mbaya kweli kumbe kipindi chote kaka angu huwa anampa 2000 ili anipe pesa ya msosi afu yeye anakata ananipa buku, nilikuja kugundua juzi broo aliposema kwa sauti nanukuu.,(hiyo buku mbili utampa dogo ya msosi) nikasema afadhari nitanunua namm Leo chips [emoji489] na Pepsi nijimwayemwaye, Sasa chaajabu shemeji akaja kunipa buku tu hapo tukaanza kugombana sasa akaanza kunifyezuri na kunifedheshesha mbele ya majirani wa kizaramo wavaa vijora, akisema tena kwa sauti ati amenichoka najaza kitambi tu kazi Sina nabweteka Kati pesa nizakaka angu.
Jana ilibidi yote nimwambie broo huku nikiwa na hasira sana kuliko mwanaume aliyemfumania mkewe . Broo akaniambia yote yaishe atanipa mtaji wa kazi.
SASA chaajabu Leo asubuhi naona ameniletea maji ya uhai kama Dazani tano hivi na MO energy kama dazani saba eti anasema nisimame kwenye mataa ya Sudani Temeke nianze kuuza huku nimebeba mimaji kichwani amesahau kuwa mimi nina degee kutoka UDSM chaajabu hajaniachia hata sent mpaka mdaa huu sielewi nakula nini wenyewe wameenda kazini, naombeni ushauri nifanyeje.
elimu yake inamsaidia nini
Mkuu kauze maji acha ubishoo tena kuna watu wana phd zao na wanafanya hiyo shughuli
JF raha sana,Endelea kuona aibu. Mimi mwenyewe naona aibu kukushauri.