Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
LasabaNitakutafutia......
levo ipi ya elimu umefika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LasabaNitakutafutia......
levo ipi ya elimu umefika
Angekuwa demu tungesema ya chupiWewe una degree UDSM? wewe huyo?[emoji849]
Ama kweli
Duuh hapo kweli kazi.....Lasaba
KabisaAngekuwa demu tungesema ya chupi
Mm ni mwanaume atanioa vp sasaMwambie kaka yako amfukuze huyo mwanamke alafu akuowe wewe ili usiuze maji mjini.
Kazi ngumu sasaUnapenda kulishwa na kaka yako unaogopa kufanya kazi.
Hakusema kuwa nianze kaziShida mzee baba hukumpa plan za mishe bro wako ndipo ulipo feli mana inaonekana bro yupo tyr kukuinua we unalala tu humpi mipango
Nina miaka 26 tu bado mdogo najivuniaKuna maneno yanadhihirisha kuwa hauko serious.
........na mimi ninunue ata chips na pepsi niji......
......pesa n za kaka ang....
......eti nikauze maji kwenye mataa ya.....
.......amesahau kuwa nina degree.....
Ushauri wangu kwako
Shemeji anakera haendi Nile kwa kakaWewe degree ulioipata hajakusaidia utamwambiaje kaka yako issue kama hiyo. Unataka kugombanishe kati ya mke na kaka yako.
Hayo mambo anafanya mtu wa shule ya msingi
Kuuza maji siwezi nina degreeWewe unadanganya sio graduate. Kama ni graduate kweli then shule haijakusaidia kimawazo na kimtazamo. Sasa wewe huna kitu halafu unapewa msaada halafu unaanza kukosoa basi toka hapo kwa broo ukapambane kupata unachokipenda.
Asante kwa ushauriUnapokuwa kwenye shughuri yako Futa kichwani mwako hii " nina degree kutika UDSM" hautojihisi aibu.
Huu utani sasa, kwamba na wewe una degree?????Habari zenu jamani mimi ni kijana mdogo mwenye umri wa miaka 26 nimemaliza chuo cha Dar es salaam mwaka jana. See saizi nipo apa Dar es salaam Tandika nakaa na kaka angu ndoananipiga jeki nakaa kwake akienda kazini na mke wake wananiachia buku tu la msosi usiku wakirudi shemeji anapika msosi tunaufinya.
Changamoto ilianza majuzi huyu shemeji Ana roho mbaya kweli kumbe kipindi chote kaka angu huwa anampa 2000 ili anipe pesa ya msosi afu yeye anakata ananipa buku, nilikuja kugundua juzi broo aliposema kwa sauti nanukuu.,(hiyo buku mbili utampa dogo ya msosi) nikasema afadhari nitanunua namm Leo chips [emoji489] na Pepsi nijimwayemwaye, Sasa chaajabu shemeji akaja kunipa buku tu hapo tukaanza kugombana sasa akaanza kunifyezuri na kunifedheshesha mbele ya majirani wa kizaramo wavaa vijora, akisema tena kwa sauti ati amenichoka najaza kitambi tu kazi Sina nabweteka Kati pesa nizakaka angu.
Jana ilibidi yote nimwambie broo huku nikiwa na hasira sana kuliko mwanaume aliyemfumania mkewe . Broo akaniambia yote yaishe atanipa mtaji wa kazi.
SASA chaajabu Leo asubuhi naona ameniletea maji ya uhai kama Dazani tano hivi na MO energy kama dazani saba eti anasema nisimame kwenye mataa ya Sudani Temeke nianze kuuza huku nimebeba mimaji kichwani amesahau kuwa mimi nina degee kutoka UDSM chaajabu hajaniachia hata sent mpaka mdaa huu sielewi nakula nini wenyewe wameenda kazini, naombeni ushauri nifanyeje.
Ushauri wangu nenda kajifunze kuandika, uanze kuandika kama mtu aliyemaliza chuo, baada ya hapo tafuta barakoa kubwa na kapelo Mungu usinione vaa ingia mtaani uza maji unaowaonea aibu hawatakutambuaUshauri tafadhari
Kwani una gari wewe? Weka ya simuYann
Hizi degree hizi, huyu anatakiwa kufungwa kabisa,na aliyempa hiyo degree /chuo wajitafakari sana.Wewe una degree UDSM? wewe huyo?[emoji849]
Ama kweli