[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndio ya political science and public administration
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndio ya political science and public administration
Naweza kazi ya kuwa secretary au mambo ya komputer piaWewe unataka kazi gani..? tuanzie hapo kwanza
Mbona unacheka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuomba ushauri ni Kosa kwani kkHizi degree hizi, huyu anatakiwa kufungwa kabisa,na aliyempa hiyo degree /chuo wajitafakari sana.
Kwamaana nyengine unataka kazi ya kukaaNaweza kazi ya kuwa secretary au mambo ya komputer pia
Sijawahi wala sijazoea kufanya kazi kwenye jua kali nina matatizo ya kichwa kuuma na macho piaUshauri wangu nenda kajifunze kuandika, uanze kuandika kama mtu aliyemaliza chuo, baada ya hapo tafuta barakoa kubwa na kapelo Mungu usinione vaa ingia mtaani uza maji unaowaonea aibu hawatakutambua
Kama una kazi ya ofisini nipe dili mkuuShida ikikupata hata kupiga dai viatu utaiomba kwa kujaza fomu ya maombi.
Ndio nisaidie ila iwe kwenye ofisi official zenye komputerKwamaana nyengine unataka kazi ya kukaa
Ukilala njaa huta tuuliza mkuuHabari zenu jamani mimi ni kijana mdogo mwenye umri wa miaka 26 nimemaliza chuo cha Dar es salaam mwaka jana. See saizi nipo apa Dar es salaam Tandika nakaa na kaka angu ndoananipiga jeki nakaa kwake akienda kazini na mke wake wananiachia buku tu la msosi usiku wakirudi shemeji anapika msosi tunaufinya.
Changamoto ilianza majuzi huyu shemeji Ana roho mbaya kweli kumbe kipindi chote kaka angu huwa anampa 2000 ili anipe pesa ya msosi afu yeye anakata ananipa buku, nilikuja kugundua juzi broo aliposema kwa sauti nanukuu.,(hiyo buku mbili utampa dogo ya msosi) nikasema afadhari nitanunua namm Leo chips [emoji489] na Pepsi nijimwayemwaye, Sasa chaajabu shemeji akaja kunipa buku tu hapo tukaanza kugombana sasa akaanza kunifyezuri na kunifedheshesha mbele ya majirani wa kizaramo wavaa vijora, akisema tena kwa sauti ati amenichoka najaza kitambi tu kazi Sina nabweteka Kati pesa nizakaka angu.
Jana ilibidi yote nimwambie broo huku nikiwa na hasira sana kuliko mwanaume aliyemfumania mkewe . Broo akaniambia yote yaishe atanipa mtaji wa kazi.
SASA chaajabu Leo asubuhi naona ameniletea maji ya uhai kama Dazani tano hivi na MO energy kama dazani saba eti anasema nisimame kwenye mataa ya Sudani Temeke nianze kuuza huku nimebeba mimaji kichwani amesahau kuwa mimi nina degee kutoka UDSM chaajabu hajaniachia hata sent mpaka mdaa huu sielewi nakula nini wenyewe wameenda kazini, naombeni ushauri nifanyeje.
Kama Kuna mchongo wa kazi za heshima nipe mchongo mkuuUkilala njaa huta tuuliza mkuu
Kwann unasema ivoHuu utani sasa, kwamba na wewe una degree?????
Kuanzia leo mimi sina degree yoyote. Pathetic
UZA MAJI PATA MTAJI UNIUNUE KO.PYUTA NA PRI TA UANZE KIJIWE CHAKONdio nisaidie ila iwe kwenye ofisi official zenye komputer
HIYO NI KAZI YA HESHIMA SANA MKUU ILA KWA UELEWA WAKO UNASHINDWA KUITHAMINI KWA AMA ULIMBUKENI AU MASHAUZI UJINGKama Kuna mchongo wa kazi za heshima nipe mchongo mkuu
Sasa wakiniona watu tuliosoma nao chuo jeHIYO NI KAZI YA HESHIMA SANA MKUU ILA KWA UELEWA WAKO UNASHINDWA KUITHAMINI KWA AMA ULIMBUKENI AU MASHAUZI UJING
Kuuza maji hapanaUZA MAJI PATA MTAJI UNIUNUE KO.PYUTA NA PRI TA UANZE KIJIWE CHAKO
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Habari zenu jamani mimi ni kijana mdogo mwenye umri wa miaka 26 nimemaliza chuo cha Dar es salaam mwaka jana. See saizi nipo apa Dar es salaam Tandika nakaa na kaka angu ndoananipiga jeki nakaa kwake akienda kazini na mke wake wananiachia buku tu la msosi usiku wakirudi shemeji anapika msosi tunaufinya.
Changamoto ilianza majuzi huyu shemeji Ana roho mbaya kweli kumbe kipindi chote kaka angu huwa anampa 2000 ili anipe pesa ya msosi afu yeye anakata ananipa buku, nilikuja kugundua juzi broo aliposema kwa sauti nanukuu.,(hiyo buku mbili utampa dogo ya msosi) nikasema afadhari nitanunua namm Leo chips [emoji489] na Pepsi nijimwayemwaye, Sasa chaajabu shemeji akaja kunipa buku tu hapo tukaanza kugombana sasa akaanza kunifyezuri na kunifedheshesha mbele ya majirani wa kizaramo wavaa vijora, akisema tena kwa sauti ati amenichoka najaza kitambi tu kazi Sina nabweteka Kati pesa nizakaka angu.
Jana ilibidi yote nimwambie broo huku nikiwa na hasira sana kuliko mwanaume aliyemfumania mkewe . Broo akaniambia yote yaishe atanipa mtaji wa kazi.
SASA chaajabu Leo asubuhi naona ameniletea maji ya uhai kama Dazani tano hivi na MO energy kama dazani saba eti anasema nisimame kwenye mataa ya Sudani Temeke nianze kuuza huku nimebeba mimaji kichwani amesahau kuwa mimi nina degee kutoka UDSM chaajabu hajaniachia hata sent mpaka mdaa huu sielewi nakula nini wenyewe wameenda kazini, naombeni ushauri nifanyeje.
Yupo jamaa nilitambulishwa na mshikaji wake Wote ni degree holders wa education,mmja ni fundi mbao na mwingine anaosha magari kwa matambala ..Kuna mshkaji ana degree ya education,anauza korosho pale maeneo ya Africana ,barabara ya bagamoyo, na maisha yake yanaenda vizuri tu, sikuhamini siku niliyomuona