Ahahaha waendelee kujitia vidole wakifika kileleni walete mrejesho......Na zile pimbi zinazosema umtumie pesa ili akuunge kwenye group lake umeone akiwa anajitia vidole
Nasema waendelee tu sis hatuna mpango nao
Mbona hili lilitegemewa tu, hayo ma miradi aliyoyaanzisha kwa fujo unadhani pesa ya kuyamalizia zitatoka wapi?Hakika magufuri ni mmoja tu R.I.P kamanda Leo nimekumbuka sana mjomba
Huu mchakato umeanzia kwake acha kusifia ubwegeHakika magufuri ni mmoja tu R.I.P kamanda Leo nimekumbuka sana mjomba
Yaani ninachoshukuru Mungu ATM hana hiyana. Ni mwepesi wa kusamehe na kusahau 😜Kweli kabisa muombe msamaha ATM maana ulimtenga na sasa unaenda kumtumia zaidi
Miamala ikipungua na wenyewe wenye mitandao ya simu watashika adabu piaHabari wakuu bila shaka leo ndio tarehe yenyewe yaani mabadiliko ya miamala kwenye mifuko ya simu yameanza kutumika.
Bila shaka kila mtu ambaye anafanya miamala kwenye simu amekumbwa na hilo pia najua limewasikitisha na hapo ndo maana halisi ya neno la Rais Samia kwamba wampe mda ajenge kwanza uchumi
Mitandao ya simu inaenda kupata pigo au Anguko la miamala kwa mitandao yote kwa sababu ongezeko la makato litawafanya watumiaji wengi wa simu kwa ajili ya miamala kuanza kutumia Benki.
Pia ongezeko hili ni pigo tosha kwa wananchi hasa na wale ambao wanakaa maeneo ambayo mabenki yenye Makao nafuu hayapatikani.
Mabadiliko ya miamala yaliyo fanyika ni kama ifuatavyo
GHARAMA ZA KUTOA NA KUTUMA PESA KWA NJIA YA SIMU KUANZIA LEO TAREHE 15/07/2021
•Kutoa 100,000 ilikua 3600 sasa hivi 6,100
•Kutoa 200,000 ilikua 5,300 sasa hivi 8,240
•Kutoa 300,000 ilikua 6,500 sasa hivi 10,000
•Kutoa 400,000 ilikua 7,000 sasa hivi 11,100
•Kutoa 500,000 ilikua 7,500 sasa hivi 12,700
•Kutoa 600,000 ilikua 8,000 sasa hivi 13,900
•Kutoa 700,000 ilikua 8,000 sasa hivi 15,100
•Kutoa 800,000 ilikua 8,000 sasa hivi 15,520
•Kutoa 900,000 ilikua 8,000 sasa hivi 16,900
•Kutoa 1,000,000 ilikua 8,000 sasa hivi 17,400
•Kutoa 3,000,000 ilikua 10,000 sasa hivi 20,000
List hii inaonyesha Makato ya Zamani na Makato yatakavyokua kuanzia leo tarehe 15/07/2021
Mimi kama mzalendo mpya nasema kwamba mifumo ya utawala wani takataka mnabisha haya twendeni sasa.CCM
Najua mtashangaa kwamba nimeanza kuiponda CCM lini lakini ndio hivyo mimi ni mzalendo mpya.
Tupende nchi yetu.
Inashangaza Sana!!!Ndo Mheshimiwa anasema anajenga uchumi wa kati
Mbona haukupitishwa na kuanza kutumika wakati wake?Huu mchakato umeanzia kwake acha kusifia ubwege
Jiandae kupanga foleni huko kwa ATM, hanaga huruma huyo!!Yaani ninachoshukuru Mungu ATM hana hiyana. Ni mwepesi wa kusamehe na kusahau [emoji12]
Acha tu nami namuda mrefu sijaitumia zaidi ya kutoa kwa wakalaKweli kabisa muombe msamaha ATM maana ulimtenga na sasa unaenda kumtumia zaidi
Huko waziri mwenye dhamana ya kutukandamiza anasema eti tutazoeaInashangaza Sana!!!
Naona mama anahujumiwa..
Nakumbuka mikakati yake kwenye kauli zake za mwanzo ilikuwa:-
Je, hili la tozo pamoja na figure zake linaongeza wigo wa walipa Kodi na kucutia wawekezaji?
- kuongeza wigo wa walipa Kodi,
- kutotumia nguvu katika kupata Kodi,
- kuvutia wawekezaji.
Naamini mama bado yupo bize na ziara, akirudi atatengua..
Hakuna namna mkuu...ni heri kuliko hayo makatoJiandae kupanga foleni huko kwa ATM, hanaga huruma huyo!!
We nitumie bila ya kutolea, ghetto sijiNinachofurahia wale wa bae tuma na ya kutolea inabidi waje magetoni na akishakuja ni "utatoa hutoi ?"🤣🤸♂️🐒