Naona Anguko la SIM Pesa

Naona Anguko la SIM Pesa

Na zile pimbi zinazosema umtumie pesa ili akuunge kwenye group lake umeone akiwa anajitia vidole

Nasema waendelee tu sis hatuna mpango nao
Ahahaha waendelee kujitia vidole wakifika kileleni walete mrejesho......
 
Hv kutoa Hela Kwa nmb wakala au crdb wakala nayo vp Kuna makato?
 
Habari wakuu bila shaka leo ndio tarehe yenyewe yaani mabadiliko ya miamala kwenye mifuko ya simu yameanza kutumika.
Bila shaka kila mtu ambaye anafanya miamala kwenye simu amekumbwa na hilo pia najua limewasikitisha na hapo ndo maana halisi ya neno la Rais Samia kwamba wampe mda ajenge kwanza uchumi

Mitandao ya simu inaenda kupata pigo au Anguko la miamala kwa mitandao yote kwa sababu ongezeko la makato litawafanya watumiaji wengi wa simu kwa ajili ya miamala kuanza kutumia Benki.
Pia ongezeko hili ni pigo tosha kwa wananchi hasa na wale ambao wanakaa maeneo ambayo mabenki yenye Makao nafuu hayapatikani.

Mabadiliko ya miamala yaliyo fanyika ni kama ifuatavyo

GHARAMA ZA KUTOA NA KUTUMA PESA KWA NJIA YA SIMU KUANZIA LEO TAREHE 15/07/2021

•Kutoa 100,000 ilikua 3600 sasa hivi 6,100
•Kutoa 200,000 ilikua 5,300 sasa hivi 8,240
•Kutoa 300,000 ilikua 6,500 sasa hivi 10,000
•Kutoa 400,000 ilikua 7,000 sasa hivi 11,100
•Kutoa 500,000 ilikua 7,500 sasa hivi 12,700
•Kutoa 600,000 ilikua 8,000 sasa hivi 13,900
•Kutoa 700,000 ilikua 8,000 sasa hivi 15,100
•Kutoa 800,000 ilikua 8,000 sasa hivi 15,520
•Kutoa 900,000 ilikua 8,000 sasa hivi 16,900
•Kutoa 1,000,000 ilikua 8,000 sasa hivi 17,400
•Kutoa 3,000,000 ilikua 10,000 sasa hivi 20,000


List hii inaonyesha Makato ya Zamani na Makato yatakavyokua kuanzia leo tarehe 15/07/2021


Mimi kama mzalendo mpya nasema kwamba mifumo ya utawala wa
CCM
ni takataka mnabisha haya twendeni sasa.

Najua mtashangaa kwamba nimeanza kuiponda CCM lini lakini ndio hivyo mimi ni mzalendo mpya.
Tupende nchi yetu.
Miamala ikipungua na wenyewe wenye mitandao ya simu watashika adabu pia
 
Ndo Mheshimiwa anasema anajenga uchumi wa kati
Inashangaza Sana!!!
Naona mama anahujumiwa..
Nakumbuka mikakati yake kwenye kauli zake za mwanzo ilikuwa:-
  • kuongeza wigo wa walipa Kodi,
  • kutotumia nguvu katika kupata Kodi,
  • kuvutia wawekezaji.
Je, hili la tozo pamoja na figure zake linaongeza wigo wa walipa Kodi na kucutia wawekezaji?
Naamini mama bado yupo bize na ziara, akirudi atatengua..
 
Huu mchakato umeanzia kwake acha kusifia ubwege
Mbona haukupitishwa na kuanza kutumika wakati wake?
Waliouratibu waliogopa Nini Hadi kipindi hicho?
Je, mama amepangua mangapi ya Magufuli , Hadi hili limshinde??
Jiulize...
 
Inashangaza Sana!!!
Naona mama anahujumiwa..
Nakumbuka mikakati yake kwenye kauli zake za mwanzo ilikuwa:-
  • kuongeza wigo wa walipa Kodi,
  • kutotumia nguvu katika kupata Kodi,
  • kuvutia wawekezaji.
Je, hili la tozo pamoja na figure zake linaongeza wigo wa walipa Kodi na kucutia wawekezaji?
Naamini mama bado yupo bize na ziara, akirudi atatengua..
Huko waziri mwenye dhamana ya kutukandamiza anasema eti tutazoea
 
Wenye mitandao wanapiga saana,
Naona government imeshtuka ineamua kuweka chake vonstant na 18% yake kwa wayoa huduma.

Hapa watoa huduma wasiposhusha gharama itakula kwao maana watu wataapunguza sana kutumia simbanking. Ni muda kwao kujipanga na nadhan watabadilisha rates zao within 3months
 
Ninachofurahia wale wa bae tuma na ya kutolea inabidi waje magetoni na akishakuja ni "utatoa hutoi ?"🤣🤸‍♂️🐒
We nitumie bila ya kutolea, ghetto siji
 
Wabunge waanze kukatwa posho na wapunguziwe mshahara
 
Back
Top Bottom