Naona Anguko la SIM Pesa

Naona Anguko la SIM Pesa

We nitumie bila ya kutolea, ghetto siji
Haha unaongelea ya kutolea ! sasa hivi situmi kabisa, nakushawishi mpaka tukubaliane uje...si unajua tena makato...ukija tu ndio mtego wenyewe hauchomoki🤣
 
Mbona haukupitishwa na kuanza kutumika wakati wake?
Waliouratibu waliogopa Nini Hadi kipindi hicho?
Je, mama amepangua mangapi ya Magufuli , Hadi hili limshinde??
Jiulize...
Kwani bunge la bajeti linakaa lini? Kwa lugha rahisi hata kama angekuwepo hili swala lingeenda bungeni na mbaya zaidi alikua hashauriki.
 
Haha unaongelea ya kutolea ! sasa hivi situmi kabisa, nakushawishi mpaka tukubaliane uje...si unajua tena makato...ukija tu ndio mtego wenyewe hauchomoki🤣
Kama nimekuomba elfu 50. Toa makato tako na utume inayobaki
 
Kama nimekuomba elfu 50. Toa makato tako na utume inayobaki
Ukiomba elfu 50 nakupa hiyo hiyo 50 hayo makato tusiwanufaishe wanasiasa, tena nimeagiza msosi wa kutosha 🍗🍔🍕 wewe njoo tu, utapata yote na zaidi !
images (100).jpeg
 
Ni sawa ukituma bila ya kutolea tutazoea
Eeh kutuma bila ya kutolea bado serikali itakata tozo...halafu bado utapata hela pungufu sina nia ya kukuzoesha shida, wewe njoo tu , utarudi hata na uber..gharama zote juu yangu tuachane na hizi tozo za dhuluma🤸🤣
images - 2021-07-19T201148.547.jpeg
 
Back
Top Bottom