Uchaguzi 2020 Naona dalili za CCM kupaniki na sasa wanaanza kutafuta shari

Uchaguzi 2020 Naona dalili za CCM kupaniki na sasa wanaanza kutafuta shari

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Dalili ni hizi tatu miongoni mwa nyinginezo.

1. Speech ya Makamba kumjibu Lissu
Huyu mzee katoka mafichoni na kuja kujaribu kujibu hoja za Lissu!

Ni hivi: Mzee kaona jahazi linazama, kwahiyo akaona ni bora ajitokeze kuokoa jahazi ingawa kazi ya kujibu hoja za Lissu walipewa UVCCM kwa maagizo ya Bashiru, ila bila shaka mzee amegundua UVCCM pekee hawana uwezo wa kujibu hoja za Lissu hivyo kawataka na wazee wa chama wajitokeze kusaidia.

Kuna wanaoweza kudhani lengo la Makamba ni kumtafutia uteuzi mwanae, ila kwakweli Makamba ameshaona hali ni tete na waze wa chama sasa hawapaswi kukaa kimya.

2. Kauli ya Ndugai ya kumfananisha Lissu na mnyama
Kauli hii ukiichunguza, utagundua inatokana na chuki ambayo chanzo chake ni ushawishi na kukubalika kwa Lissu, jambo linalowafanya wamemjengee chuki Lissu na njia mojawapo ya kuonyesha chuki au kutoa hasira zao ni kutumia lugha kama aliyoitumia ambayo inaonyesha wazi chuki na hasira aliyonayo dhidi ya Lissu.

3. Matamshi ya Kheri James
Huyu nae ni kama Ndugai kwani inaonyesha amepaniki baada ya kuona jinsi Lissu anavyowafunika kwa hoja na sasa wamekosa hoja za kujibu na badala yake wanaibuka na lugha za vitisho na madai ya uongo eti Lissu anamtukana mgombea wa chama chao.

Kama kweli anamtukana,mwambieni ataje hayo matusi kama hajaisha kujikanyaga tu.

4. Mzee Baba kwenda mapumzikoni
Mapumziko haya ni matokeo ya kucheza mziki wa Lissu, na kwakuwa mziki wenye ni mnene, basi alilazimika kutumia nguvu za ziada ili kujaribu kwenda sambamba na beat, matokeo yake wamechoka/amechoka wakati beats zikiwa bado zinaendelea unless mapumziko hayo yamo kwenye ratiba ya kampeni zake.

Hata vitani huwa kuna kawaida ya kurudisha majeshi nyuma na kujipanga upya inapotokea mmepata kichapo kikali na kitakatifu huku mkiwa mnapoteana katika uwanja wa vita (battlefield), na hiki ndicho CCM wanakifanya kwa sasa kurudisha majeshi nyuma waangalie wanatoka vipi(wanatia huruma).

Kwahiyo, kutokana na watu hawa kuzidiwa kwa hoja huku wakiumizwa na mafuriko katika mikutano ya Lissu,mtarajie kuona na kusikia mengi ya kushangaza kutoka kwa watu hawa: vitisho, frustrations, hasira, jaziba, n.k.
 
CCM ya sasa ipo disorganized kuliko wakati wowote wa kampeni.

Wapinzani wakikaza kwenye kampeni na kulinda kura, CCM watapoteza sana.

CCM hasa hii ya JPM, imewaumiza wengi sana. Hawana cha kumuuza. Wanaishia madaraja, ndege na treni ya umeme.

Zaidi ya hapo hakuna.
 
CCM ya sasa ipo disorganized kuliko wakati wowote wa kampeni.

Wapinzani wakikaza kwenye kampeni na kulinda kura, CCM watapoteza sana.

CCM hasa hii ya JPM, imewaumiza wengi sana. Hawana cha kumuuza. Wanaishia madaraja, ndege na treni ya umeme.

Zaidi ya hapo hakuna.
Walisahau siasa ni watu na watu ndio wapiga kura na haya saa ndio matokeo yake.Waliishia kudanganyana kwenye korido na vikao vyao ya Lumbumba kuwa wamefanikiwa kuua upinzani na sasa hawaamini macho na masikio yao.

Too late!
 
Mzee wangu Makamba kasemaje kwani! Imenipita hii.. mambo mengi sana!
 
Chadema hawajambo Kwa Tambo Kwenye SOCIAL NETWORKS..

Kwa Mtu Asiyeilewa CCM Vyema anaweza kuwa PARANOID na vitisho vyao😂😂😂

Mtaji Wa CCM Ni wanachama wake milioni 17 nchi nzima.

KALAGHABAHO!!
 
Kwa namna mambo yanavyoenda nikitoa unafiki na kuchambua Siasa na nikiambiwa nibet naona Magufuli akishinda zaidi ya alivyozhinda 2015.
Yeyote anaetaka tuweke dau juu ya Hili anicheck ili walau Nipige hela.
Maana siasa sinamafungamano nayo basi nipate hata hela kwenye hii siasa yenu.

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
 
CCM ya sasa ipo disorganized kuliko wakati wowote wa kampeni.

Wapinzani wakikaza kwenye kampeni na kulinda kura, CCM watapoteza sana.

CCM hasa hii ya JPM, imewaumiza wengi sana. Hawana cha kumuuza. Wanaishia madaraja, ndege na treni ya umeme.

Zaidi ya hapo hakuna.
Na CORONA eti, wakati alienda kujificha Chato siki 60....ha ha ha

Magu pumzi imekata. Sasa wanataka kuanzisha fujo.
 
Kwa namna mambo yanavyoenda nikitoa unafiki na kuchambua Siasa na nikiambiwa nibet naona Magufuli akishinda zaidi ya alivyozhinda 2015.
Yeyote anaetaka tuweke dau juu ya Hili anicheck ili walau Nipige hela.
Maana siasa sinamafungamano nayo basi nipate hata hela kwenye hii siasa yenu.

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
Hoja anazozitoa mgombea wa chadema zinawatoa kwenye reli ccm ndo sababu wanapanic
 
CCM ya sasa ipo disorganized kuliko wakati wowote wa kampeni.

Wapinzani wakikaza kwenye kampeni na kulinda kura, CCM watapoteza sana.

CCM hasa hii ya JPM, imewaumiza wengi sana. Hawana cha kumuuza. Wanaishia madaraja, ndege na treni ya umeme.

Zaidi ya hapo hakuna.
Mbaya zaidi anaomba kura kwa kuahidi barabara zaidi, madaraja zaidi, na mateso zaidi!!
 
Inaonekana wameshindwa kujibu hoja na wamepoteana tayari! Na wanatafuta njia za kuchochea vurugu kwenye kampeni za Lissu ambazo pamoja na kujaza watu wengi zimekuwa za amani na utulivu.

Nashauri Chadema wawe makini kwenye kuweka vizuri usalama wa mikutano yote ijayo ya kampeni. Na kuanzia sasa, Lissu asijiachie na kujichanganya tena na raia kwenye kampeni. Kwa hali hii mikutano yake inaweza kuvamiwa na vikundi vya mamluki wamharibie......
 
Dalili ni hizi tatu miongoni mwa nyinginezo.

1.Speech ya Makamba kumjibu Lissu
Huyu mzee katoka mafichoni na kuja kujaribu kujibu hoja za Lissu!

Ni hivi:Mzee kaona jahazi linazama, kwahiyo akaona ni bora ajitokeze kuokoa jahazi ingawa kazi ya kujibu hoja za Lissu walipewa UVCCM kwa maagizo ya Bashiru, ila bila shaka mzee amegundua UVCCM pekee hawana uwezo wa kujibu hoja za Lissu hivyo kawataka na wazee wa chama wajitokeze kusaidia...
Acha uongo wewe soma ratiba ya tume ya uchaguzi mgombea wa ccm yuko off kwa siku 4 kuanxia jumatatu mtapata maumivu subirini
 
mlidhani mnaweza kuongea upupu bila kujibiwa.Pokeeni majibu hayo kama hamtaki mtalazimishwa kuyapokea.Kutukana hakuruhusiwi katika kampeni, muige style ya JPM.Acheni kuporomosha mitusi toeni sera vinginevyo sheria itawalazimisha.Jinga kabisa
 
Back
Top Bottom