Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona CCM wakechelewa! Wanatakiwa waminyorosheni hasa huyu mpuuzi Tundu Lissu.
Heri naona sasa mambo shegga
Ukimsikiliza Kheri James utagundua hofu yake kubwa iko katika Chadema kulinda kura zao baada ya uchaguzi.
Eti kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa kijijini kwake Chato ni sahihi!Mzee wangu Makamba kasemaje kwani! Imenipita hii.. mambo mengi sana!
Lu-ma-gamlidhani mnaweza kuongea upupu bila kujibiwa.Pokeeni majibu hayo kama hamtaki mtalazimishwa kuyapokea.Kutukana hakuruhusiwi katika kampeni, muige style ya JPM.Acheni kuporomosha mitusi toeni sera vinginevyo sheria itawalazimisha.Jinga kabisa
Uko sahihi lakini unachosahau Ni kwa CCM imehodhi vyombo vyote vya habari wakati chadema imebaki Twitter, Facebook, Instagram n.k lakini mamia kwa maelfu wanawakibaliChadema hawajambo Kwa Tambo Kwenye SOCIAL NETWORKS.....
Kwa Mtu Asiyeilewa CCM Vyema anaweza kuwa PARANOID na vitisho vyao😂😂😂
Mtaji Wa CCM Ni wanachama wake milioni 17 nchi nzima....
KALAGHABAHO!!
Ahahaha,kweli aiseeCCM ya sasa ipo disorganized kuliko wakati wowote wa kampeni.
Wapinzani wakikaza kwenye kampeni na kulinda kura, CCM watapoteza sana.
CCM hasa hii ya JPM, imewaumiza wengi sana. Hawana cha kumuuza. Wanaishia madaraja, ndege na treni ya umeme.
Zaidi ya hapo hakuna.
Hususan maskini wa vijijini!Chadema hawajambo Kwa Tambo Kwenye SOCIAL NETWORKS.....
Kwa Mtu Asiyeilewa CCM Vyema anaweza kuwa PARANOID na vitisho vyao😂😂😂
Mtaji Wa CCM Ni wanachama wake milioni 17 nchi nzima....
KALAGHABAHO!!
Usilojua ni usiku wa giza. Afterall siku hizi watu wameanza kumdharau Tundu Lissu maana matusi kwa JPM hata kabla hajagongwa risasi hali kuwa ni jadi yake. Imagine alirudi na kusema Corona ipo, akavaa barakoa siku mbili. Sasa anakusanya watu katika kampeni! Tumuulize Je, corona aliyotangazia ulimwengu bado ipo au haipo? Ni Mwenda wazimu yule. Ngoja baada ya uchaguzi chamoto atakipataWapuuzi ninyi, tunaenda kuikata hiyo MIRIJA ya elfu saba saba za kodi zetu mnazolipwa kila siku kwa kazi ya kuongea utopolo tu humu.
njoo uchukie iphone hyo uachane na infinix tecno mode hzoKwa namna mambo yanavyoenda nikitoa unafiki na kuchambua Siasa na nikiambiwa nibet naona Magufuli akishinda zaidi ya alivyozhinda 2015.
Yeyote anaetaka tuweke dau juu ya Hili anicheck ili walau Nipige hela.
Maana siasa sinamafungamano nayo basi nipate hata hela kwenye hii siasa yenu.
Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
Usilojua ni usiku wa giza. Afterall siku hizi watu wameanza kumdharau Tundu Lissu maana matusi kwa JPM hata kabla hajagongwa risasi hali kuwa ni jadi yake. Imagine alirudi na kusema Corona ipo, akavaa barakoa siku mbili. Sasa anakusanya watu katika kampeni! Tumuulize Je, corona aliyotangazia ulimwengu bado ipo au haipo? Ni Mwenda wazimu yule. Ngoja baada ya uchaguzi chamoto atakipata
Bashite na mpuuzi Tundu Lissu wote sawa achana nao ni wehuTulia upate dawa kutoka kwa BASHITE
Bashite na mpuuzi Tundu Lissu wote sawa achana nao ni wehu
Umejuaje Bwana Mtabiri?!!!
Mbaya zaidi huu wimbo wa madaraja,ndege na treni Jiwe alikuwa akiuimba siku zote Kama wimbo wa taifa wakati akifanya kampeni peke huku Wengine wakiwa wamezibwa midomo.Imetokea wananchi sasa wameuzoea🤣🤣🤣Wanaishia madaraja, ndege na treni ya umeme.