Uchaguzi 2020 Naona dalili za CCM kupaniki na sasa wanaanza kutafuta shari

Uchaguzi 2020 Naona dalili za CCM kupaniki na sasa wanaanza kutafuta shari

Chadema hawajambo Kwa Tambo Kwenye SOCIAL NETWORKS.....
Kwa Mtu Asiyeilewa CCM Vyema anaweza kuwa PARANOID na vitisho vyao[emoji23][emoji23][emoji23]

Mtaji Wa CCM Ni wanachama wake milioni 17 nchi nzima....

KALAGHABAHO!!
Mnajitahidi sana kutengeneza namba ya wanachama wenu ili kujenga uhalali wa ushindi. Eti 17 milioni, sasa kama mna idadi hiyo ya wanachama, na kwa muujibu wa tume wapiga kura waliojiandikisha ni 29 milioni.

Hii ina maana tayari ccm kwa idadi ya wanachama wake hao 17 milioni ushindi ni wetu, sasa kwanini tumepaniki namna hii wakati ushindi uko dhahiri kwa idadi hii ya wanachama wetu?
 
mlidhani mnaweza kuongea upupu bila kujibiwa.Pokeeni majibu hayo kama hamtaki mtalazimishwa kuyapokea.Kutukana hakuruhusiwi katika kampeni, muige style ya JPM.Acheni kuporomosha mitusi toeni sera vinginevyo sheria itawalazimisha.Jinga kabisa
Kusema tu mtu anatukana haitoshi kuhalalisha madai yako. Hebu ainisha hayo matusi ni yepi?

Na kama kuna lugha ya matusi imetumika kwenye kampeni je sheria ya uchaguzi inasemaje juu ya hilo? Kwanini hiyo sheria isitumike kumuadhibu mtuhumiwa?
 
CCM ya sasa ipo disorganized kuliko wakati wowote wa kampeni.

Wapinzani wakikaza kwenye kampeni na kulinda kura, CCM watapoteza sana.

CCM hasa hii ya JPM, imewaumiza wengi sana. Hawana cha kumuuza. Wanaishia madaraja, ndege na treni ya umeme.

Zaidi ya hapo hakuna.
Treni ya umeme??! [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Standard gauge ndio treni ya umeme siku hizi??
 
Mkuu Salary Slip, amini unahitaji kujitathmini kwani unakoelekea hukujui. Iweje wewe tu ndiye uwe nwenye kujua kila kitu, kama huyo mgombea wako wa Urais, nwenye kujidai anajua sheria, anatetea Katiba huku akivunja kwa nakusudi.

Kama majibu ya hao uliowataja hayakutoshelezi, sikia mengine haya ili uondokane na Vioja badala ya Hoja, maana umemtaja kwa kuficha hoja zake.

Ha ha ha haaaaaaa......
Uhuni gani wanao zaidi ya zile risasi walizommiminia Lissu?
Ccm tafakarini kwa utulivu na mjiulize kwa nini Mungu alimkinga Lissu na risasi nyingi hivyo mwilini mwake. Kama hamjui ni ili Muumba ajitukuze katika tukio hili kwa hichi kizazi kisicho imani.
Yale ya farao katika bahari ya Shamu huenda yakajirudia miaka kama 4000 baadae.
Kazi yetu sisi ni maombi lakini hata hivyo maombi yana pande mbili, ama kukubaliwa au kukataliwa.
 
Lu-ma-ga
Hebu nitajie angalau tusi moja tu aliloliporomosha Tundu Lissu kwenye mikutano yake ya kampeni?

Ama sivyo nitajua kuwa nyinyi watu wa kijani, mshaanza story za vijiweni!
Mkulu-Mkinichagulia mtu toka chama kingine sita waletea mendeleo

Lisu-Mkipiga kura lindeni zisiibiwe

Hapo tusi lipo wapi? Nani kaharibu
 
Mzee Makamba amewataka wanaccm kujibu hoja za Lissu. Akatolea mfano hoja ya uwanja wa ndege wa kimataifa kujengwa Kijiji cha Chato.

Makamba anasema majibu ya hoja hii ni kwamba Kijijini Chato kuna waanzania kwahiyo hakuna shida international airport kujengwa kwenye Kijiji hicho.
Huyu mzee nadhani anataka kumharibia zaidi. Hivi CCM eakijibu hoja ya kutetea uwanja wa ndege wa kimataifa kujrngwa kijijini kwa Magufuli kwa namna anayoshauri, itaisadia CCM au itaiumiza zaidi CCM?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Treni ya umeme??! [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Standard gauge ndio treni ya umeme siku hizi??
Standadi goji🤣😇🥰

Stiglazi geji🤩😘🤑
 
usiwajibu.. waache wajifariji....
wana siku chache za kulia "tumeibiwa kura"

Viva Magu
Heil JPM
Acha uongo wewe soma ratiba ya tume ya uchaguzi mgombea wa ccm yuko off kwa siku 4 kuanxia jumatatu mtapata maumivu subirini
 
Kilichowazi na ccm wanajua ni kwamba kwanza hawakushinda Zanzibar wala bara 2015 ndio maana ya rais kutangaza vita dhidi ya upinzani alipoingia tu madarakani. Chaguzi za madiwani na wabunge walionunua wote mnakumbuka ilikuwaje. Watz wanajua nn kilitokea December mwaka jana uchaguzi serikali za mitaa.....
Kimsingi na ccm wanajua hakuna
1. Wakulima
2. Wafanyakazi
3. Wafanyabiashara
4. Wanafunzi
Wakuichagua ccm na ndio chanzo cha haya yote kulazimisha kubaki madarakani kwa nguvu ya tume km alivoahidi rais lkn pia kwa nguvu ya dola km alivyosema Bashiru
 
Tajeni
mlidhani mnaweza kuongea upupu bila kujibiwa.Pokeeni majibu hayo kama hamtaki mtalazimishwa kuyapokea.Kutukana hakuruhusiwi katika kampeni, muige style ya JPM.Acheni kuporomosha mitusi toeni sera vinginevyo sheria itawalazimisha.Jinga kabisa
Tajeni hayo matusi ambayo CCM tu wanayasikia Mh.Lissu akiyaporomosha.Mbona ni kama mnalazimisha tuamini kuwa CDM wanatukana wakati Sisi wapiga kura hatujawahi kuyasikia?
 
Back
Top Bottom