Gigiko2020
Member
- Oct 20, 2019
- 67
- 132
Bwashe, Lissu ametoa tusi gani? Mimi naona anatoa hoja zinazowaondoa relini!
QUOTE="Lu-ma-ga, post: 36665686, member: 26656"]
Mlidhani mnaweza kuongea upupu bila kujibiwa. Pokeeni majibu hayo kama hamtaki mtalazimishwa kuyapokea Kutukana hakuruhusiwi katika kampeni, muige style ya JPM. Acheni kuporomosha mitusi toeni sera vinginevyo sheria itawalazimisha.
[/QUOTE]
QUOTE="Lu-ma-ga, post: 36665686, member: 26656"]
Mlidhani mnaweza kuongea upupu bila kujibiwa. Pokeeni majibu hayo kama hamtaki mtalazimishwa kuyapokea Kutukana hakuruhusiwi katika kampeni, muige style ya JPM. Acheni kuporomosha mitusi toeni sera vinginevyo sheria itawalazimisha.
[/QUOTE]