Naona Fiston Mayele akiwatoa Al Hilal nyumbani kwao

Mtabakwa tuuu hata kwa mbinde[emoji2957][emoji2957]
 
Kocha wa Yanga aoneshe ukubwa wake hapo sio kuja kuwafunga JKT pekee apange kikosi kizuri kutokana na kuwasoma wapinzani maana wao wametusoma sana na awe na nidhamu ya haya mashindano asiache wachezaji wote wanapanda kushambulia kama wapo na Ihefu atakuja kulia...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…