Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda December sio JanuarySina wakika ila kila nikiwaza naona kama matrix inaegemea kwa nakamba juniors.
Jk, Luten Makamba na Luten Nauye wazazi wa Ridhiwan, January na Nape.
Wazazi wote Wamekuwa wote pale chuo cha jeshi monduli na Mzee Kinana.
January personal secretary wa rais Jakaya, mbio za urais 2015 kaingia tatu bora CCM.
2015 baada ya uchaguzi January, Nape wanakuwa mawaziri chini ya Hayati Magufuli ghafla wanatenguliwa uwaziri.
Kumbuka Umri ausimami unaenda wote wanakalibia miaka 50 Wazee wao hawala wakika kama watakuwepo kwa miaka mingine mitano mbele. January kaamishiwa wizara ya mambo ya nje ili kupikwa kumbuka ndo wizara iliyomutoa Rais kikwete.
Hakuna mzazi anayependa kumlisisha mtoto wake njaa. January for president ili kuwalinda ndugu zake nape na ridhiwani. What if ikaja kuwa kweli?
Huyu tangu atuongopee kuwa Rais yuko mzima anachapa kazi wakati yuko kwenye jokofu nimemtoa maana kabisa.Huyo Mzee muongo muongo?!
Sina wakika ila kila nikiwaza naona kama matrix inaegemea kwa nakamba juniors.
Jk, Luten Makamba na Luten Nauye wazazi wa Ridhiwan, January na Nape.
Wazazi wote Wamekuwa wote pale chuo cha jeshi monduli na Mzee Kinana.
January personal secretary wa rais Jakaya, mbio za urais 2015 kaingia tatu bora CCM.
2015 baada ya uchaguzi January, Nape wanakuwa mawaziri chini ya Hayati Magufuli ghafla wanatenguliwa uwaziri.
Kumbuka Umri ausimami unaenda wote wanakalibia miaka 50 Wazee wao hawala wakika kama watakuwepo kwa miaka mingine mitano mbele. January kaamishiwa wizara ya mambo ya nje ili kupikwa kumbuka ndo wizara iliyomutoa Rais kikwete.
Hakuna mzazi anayependa kumlisisha mtoto wake njaa. January for president ili kuwalinda ndugu zake nape na ridhiwani. What if ikaja kuwa kweli?
Bora muongo kuliko matapeli wa Rasilimali.Huyo Mzee muongo muongo?!
Wote hawafai.Bora muongo kuliko matapeli wa Rasilimali.
Hii ikija kuwa kweli ni kwasababu JM is the best na sio kwasababu ya kuwalinda Nape na Riz1!.January for president ili kuwalinda ndugu zake Nape na Ridhiwani.
What if ikaja kuwa kweli?
Sina tatizo na January maana kati ya vijana walio fundwa na CCM kutoka chini kwa sasa hv anaweza kuwa namba moja kwa wanao make headline.Hii ikija kuwa kweli ni kwasababu JM is the best na sio kwasababu ya kuwalinda Nape na Riz1!.
P
Huyo Mzee wa Piko ndio maana kawekewa Doto Biteko kwasababu hajiwezi mkimpa Uraisi hii Nchi itazidi kwenda Toilet.Ila uongo wake huwa ni laini laini, hauumizi!, Sio kama wa Mch. Msigwa
Hawa machawa ni wapumbavu sana! Rais wa dili za kipuuzi?Una kichaa wewe huyu labda awe Rais wa waiba mitihani mtu anayewaza kupiga madili tu kila sehemu ety awe Rais