Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana sio kweli hili si swala la kufumbia macho hata kidogoVitu vingine tukaushe tu, maana hata tuki judge hakuna kitakacho change.. wanaume walianza kuvaa heren kitambo na bado wataendelea kuvaa,
Kwani siwalitaka wenyewe WCB haya mambo ya kujitenga na kukashifu media wanajiona wao ni wakubwa kushinda media zingine, wao ndio wametaka vita acha mapambano yaendelee Mendes ndio kaleta yote haya na hii vita haitaisha mpaka WCB waombe msamaha.Wanatumia nguvy kubwa sanaaaaaaaa,tena sasa wameungana E-fm na clouds,Ka Harmonize kamekubali kutumika kijinga sana
Believe me hawajamaa hawatomuweza huyo mtu na mwisho wa yote huyo Harmonize watamuweka pembeni.
Mondi anatumia akili sana na ni mjanja mnooo.
Wao wachutame tu yamewashinda.
Eti nao hawa wanafiki walikua hawapigi ngoma za WCB ila sasa katoka kijana wanapiga.Hii ni kufhihirisha walikua wameshindwa na yalikua yanawauma
Jukwaa hili enzi zenu mlikuwa mnamjadili Mandela na Mahatma GHANDI na Malcom X?? TOA PUMBA UNAPOCHANGIA MADA ANGALIA NA JUKWAANdo uone akili ya mtoa maada siku hizi JF imeshuka hadhi sana kuwa na watu kama hawa
sio wote wanapenda kufuata utaratibu kunaile koti wanapenda kuitumiaga ilikujilinda wanasemaga "sheria imewekwa iliivunjwe" .Jukwaa hili enzi zenu mlikuwa mnamjadili Mandela na Mahatma GHANDI na Malcom X?? TOA PUMBA UNAPOCHANGIA MADA ANGALIA NA JUKWAA
Mkuu unapotaka kuchangia mada ni bora kwanza kuangalia jukwaa gani hii mada ipo, hii itakusaidia usionekane poyoyo, mfano mtu aliyezzoea jukwaa la siasa akaenda chit-chat ataona wote wachangiaji hawana akili kumbe kule watu wanataniana tu na mas'hara mengisio wote wanapenda kufuata utaratibu kunaile koti wanapenda kuitumiaga ilikujilinda wanasemaga "sheria imewekwa iliivunjwe" .
Vita ikikaribia kuisha mende atawaacha hapo km kinana maana ni mkimbizi hukoKwani siwalitaka wenyewe WCB haya mambo ya kujitenga na kukashifu media wanajiona wao ni wakubwa kushinda media zingine, wao ndio wametaka vita acha mapambano yaendelee Mendes ndio kaleta yote haya na hii vita haitaisha mpaka WCB waombe msamaha.
Baada ya kushindwa kipindi cha nyuma sasa wameanza tena safari hii ila nyani mkuu ametulia tuliii anawaacha wapige kelele wabebane lakini atakuja kuwanyamazisha kidomo domo hao View attachment 1250366
ww point yko iko wapMada zilezile Kila Siku Kama Watoto wa Chekechea..
alafu hauna Pont
Hereni walianza kuvaa machief na wazee wakimasai miaka 200 iliyopitaVitu vingine tukaushe tu, maana hata tuki judge hakuna kitakacho change.. wanaume walianza kuvaa heren kitambo na bado wataendelea kuvaa,
Mtoto wa kiume unavaa hereni inayoning'inia kweli!!!!
Msanii maana yake ni sanaaMtoto wa kiume unavaa hereni inayoning'inia kweli!!!!
Si ajabu ''wanakuruka ukuta'' kwa kuwa tu unaamini kuwa michezo hiyo ilianzia Sodoma na Gomola....Hereni walianza kuvaa machief na wazee wakimasai miaka 200 iliyopita
Hereni walianza kuvaa machief na wazee wakimasai miaka 200 iliyopita