Entreprenuare
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,616
- 1,727
Hapana sio kweli hili si swala la kufumbia macho hata kidogo
Utaacha kukemea mauaji ya albino eti kisa tu albino walianza kuuliwa kitambo tangu enzi za mababu kwaiyo huna haja ya kukemea kwasababu wataendelea tu kuuliwa??[
Sitetei men kuvaa hereni, je kwa kukemea tu itatosha kukomesha tabia hii???
Usifananishe kutoa mtu uwahi na kuvaa hereni