Naona jinsi ambavyo nguvu kubwa inatumika ili kumshusha tena Diamond

Msaidieni Kutafuta Penseli zake zimeibiwa kitambo huko
 
Vitu vingine tukaushe tu, maana hata tuki judge hakuna kitakacho change.. wanaume walianza kuvaa heren kitambo na bado wataendelea kuvaa,
Hapana sio kweli hili si swala la kufumbia macho hata kidogo

Utaacha kukemea mauaji ya albino eti kisa tu albino walianza kuuliwa kitambo tangu enzi za mababu kwaiyo huna haja ya kukemea kwasababu wataendelea tu kuuliwa??
 
Kwani siwalitaka wenyewe WCB haya mambo ya kujitenga na kukashifu media wanajiona wao ni wakubwa kushinda media zingine, wao ndio wametaka vita acha mapambano yaendelee Mendes ndio kaleta yote haya na hii vita haitaisha mpaka WCB waombe msamaha.
 
Jukwaa hili enzi zenu mlikuwa mnamjadili Mandela na Mahatma GHANDI na Malcom X?? TOA PUMBA UNAPOCHANGIA MADA ANGALIA NA JUKWAA
sio wote wanapenda kufuata utaratibu kunaile koti wanapenda kuitumiaga ilikujilinda wanasemaga "sheria imewekwa iliivunjwe" .
 
sio wote wanapenda kufuata utaratibu kunaile koti wanapenda kuitumiaga ilikujilinda wanasemaga "sheria imewekwa iliivunjwe" .
Mkuu unapotaka kuchangia mada ni bora kwanza kuangalia jukwaa gani hii mada ipo, hii itakusaidia usionekane poyoyo, mfano mtu aliyezzoea jukwaa la siasa akaenda chit-chat ataona wote wachangiaji hawana akili kumbe kule watu wanataniana tu na mas'hara mengi
 
Kwani siwalitaka wenyewe WCB haya mambo ya kujitenga na kukashifu media wanajiona wao ni wakubwa kushinda media zingine, wao ndio wametaka vita acha mapambano yaendelee Mendes ndio kaleta yote haya na hii vita haitaisha mpaka WCB waombe msamaha.
Vita ikikaribia kuisha mende atawaacha hapo km kinana maana ni mkimbizi huko
 
fasiliteta, Sasa simba wenu mwenyew alisema haon umuhimu wa media .sasa hv konde Boy anasapotiwa na media mnalalamika. Tulien rad iwapige.

"Si ulitaka chai Mbona unalalamika inaungua "
 
Mbona hujaeleza sababu? Je, hapa nchini ni msanii mmoja tu anatakiwa kufanya vizuri?
 
Kwani umeona nini au kusikia nini..?
Mbona unateseka namna huu...!!!
 
kama yupo juu ya paa au mti naunga mkono ashushwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…