Entreprenuare
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,616
- 1,727
Hapana sio kweli hili si swala la kufumbia macho hata kidogo
Utaacha kukemea mauaji ya albino eti kisa tu albino walianza kuuliwa kitambo tangu enzi za mababu kwaiyo huna haja ya kukemea kwasababu wataendelea tu kuuliwa??[
Sitetei men kuvaa hereni, je kwa kukemea tu itatosha kukomesha tabia hii???
Usifananishe kutoa mtu uwahi na kuvaa hereni
Kumbka usanii ni sanaaaaa uyo msanii
Msanii maana yake ni sanaa
APA wameuwaTulieni mlambe dawaaaahView attachment 1251632
OK. No hard feelings bro. Ila wizkid ameshaperfom fiesta mwanza I think mwaka juz. Na ameshaperform had kwenye Show ya East Africa radio...Tulieni mlambe dawaaaahView attachment 1251632
Kwani amekuwa wewe badala ya diamond, au amekuwa wa njano eboooh muacheni king.Hicho kinacho ning'inia sikio lakushoto ni nini??
Ameharibika sana, huko nyuma hakuwa hivyo
Kuna inossb ndaniTulieni mlambe dawaaaahView attachment 1251632
Wizkid wa wakati huo siyo huyu wa sasa . Takeit to yo headOK. No hard feelings bro. Ila wizkid ameshaperfom fiesta mwanza I think mwaka juz. Na ameshaperform had kwenye Show ya East Africa radio...
It's a good thing to have wizkid Lakin usiact Kama ni first time yy kufanya Show bongo
Sawa tanasha dona swali je na were utakuepo kumspoti mumeo diamond?Tulieni mlambe dawaaaahView attachment 1251632
Wa sasa hivi ana kipi kipya? Kabadilika nini? Wizkid kuja bongo sio ishu tena wala mi sijaona cha ajabuWizkid wa wakati huo siyo huyu wa sasa . Takeit to yo head
Basi nenda katumbuize weweWa sasa hivi ana kipi kipya? Kabadilika nini? Wizkid kuja bongo sio ishu tena wala mi sijaona cha ajabu
Sawaa mama dangoteWanatumia nguvy kubwa sanaaaaaaaa,tena sasa wameungana E-fm na clouds,Ka Harmonize kamekubali kutumika kijinga sana
Believe me hawajamaa hawatomuweza huyo mtu na mwisho wa yote huyo Harmonize watamuweka pembeni.
Mondi anatumia akili sana na ni mjanja mnooo.
Wao wachutame tu yamewashinda.
Eti nao hawa wanafiki walikua hawapigi ngoma za WCB ila sasa katoka kijana wanapiga.Hii ni kufhihirisha walikua wameshindwa na yalikua yanawauma
Tanasha unakwama mama kubwa?Basi nenda katumbuize wewe
KileleniKumshusha kutoka wapi?
Unakwama wapi dada angu ?Tanasha unakwama mama kubwa?
Sawa tanasha dona naona uno la chibu limekukolea sio mbaya endelea kumtetea jamaa asipotee aendelee kukupa mkuyengeUnakwama wapi dada angu ?