Naona jinsi ambavyo nguvu kubwa inatumika ili kumshusha tena Diamond

 
Imekua kila kitu kisifanyike sababu ya Diamond,msanii akitoa wimbo inakua ametumwa amzibie diamond , Diamond this diamond that... WTF
 
OK. No hard feelings bro. Ila wizkid ameshaperfom fiesta mwanza I think mwaka juz. Na ameshaperform had kwenye Show ya East Africa radio...

It's a good thing to have wizkid Lakin usiact Kama ni first time yy kufanya Show bongo
Wizkid wa wakati huo siyo huyu wa sasa . Takeit to yo head
 
Sawaa mama dangote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…