TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Nadhani muda umefika siyo mbali CCM inakwenda kulala upande mmoja.
Mwl. Nyerere aliposema CCM si mama yake wala baba yake alikuwa na maana hasa.
Mwl. Nyerere aliposema mpinzani wa kweli atatokea ndani ya CCM basi si mbali.
Mwl. Nyerere aliposema CCM hakitakuwa na uwezo tena pale atakapotokea mjinga mmoja na kusema ...' sasa nani anabisha huyo mjinga hajasema?
Mapishi yapo jikoni, kuna hali ya kushangaza sana ambayo kuna waliopo ndani wanaona wapo salama na walio nje wanaona sawa tu ndiyo chama chetu hiki tutapita tu.
Ni kwa sababu ya mazoea kwamba kuna bao la mkono, ukiachana na bao la mkono pia kuna bao la jeshi la polisi, hawa nao kwa sasa hawajijui wapo wapi japo wanaelewa kazi yao ni nini.
Tunasuka na kunyoa na yetu ni macho na masikio, 2025 lolote linaenda kutokea.
Mwl. Nyerere aliposema CCM si mama yake wala baba yake alikuwa na maana hasa.
Mwl. Nyerere aliposema mpinzani wa kweli atatokea ndani ya CCM basi si mbali.
Mwl. Nyerere aliposema CCM hakitakuwa na uwezo tena pale atakapotokea mjinga mmoja na kusema ...' sasa nani anabisha huyo mjinga hajasema?
Mapishi yapo jikoni, kuna hali ya kushangaza sana ambayo kuna waliopo ndani wanaona wapo salama na walio nje wanaona sawa tu ndiyo chama chetu hiki tutapita tu.
Ni kwa sababu ya mazoea kwamba kuna bao la mkono, ukiachana na bao la mkono pia kuna bao la jeshi la polisi, hawa nao kwa sasa hawajijui wapo wapi japo wanaelewa kazi yao ni nini.
Tunasuka na kunyoa na yetu ni macho na masikio, 2025 lolote linaenda kutokea.