Naona kama kumtongoza mdada ni namna fulani hivi ya mwanaume kujishusha na kujidhalilisha

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Kama Kutongoza mdada ni urijali na si kujishusha, mbona wao wadada hawatutongozagi? Maana Kimoyo moyo wao wanajua kumshobokea na kumfuata fata mtu ni kujishushia point.

Sahivi mpaka nitongoze demu, ni iwe nimemwelewa sana, la sivyo nakula buyu tu. Kujidhalilisha bila sababu Kisa natongoza, kwangu tena ni mwiko.
 
Kujishusha ni pale unapomfata asie level zako then akakupa pigo zake otherwise sioni shida iliyopo ukikataliwa
finally kama umemaanisha kwa hiyo heading mtoa mada utakuwa unajiona sana utakaempata kazi anayo
 
Bora tufukuzane kama kuku sio? 😁
 
Utapiga punyeto sana hadi ubakie na kibamia tu. Sasa bila kutongoza utapataje mbunye?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Hutakiwi kumtilia mashaka daktari wa uchumi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
utongoze au uwe na hela ?
 
Aisee labda nikuambie tu hakuna kitu mwanamke anapenda kama kutongozwa, kwasababu kutongozwa kunaambatana na sifa, kila mwanamke akisifiwa anajiona anasifa za kuwa mwanamke, Sasa wewe ndo unataka utongozwe??. Kah!! haya tongozwa usijelalamika sasa
 
ukweli mtupu, ndiyo maana wengine ni mwendo wa kujichukulia sheria mkononi
Inamadhara makubwa sana, usiombe yakufike. Articles za science zinasema haina madhara, ila itakutengenezea OCD ambayo hutoamini. Bora uache
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…