Mkuu una maana na wewe ulitakiwa kuwa kwenye hiyo hesabu?Kwenye zoezi la Sensa wange hesabu vijana wa hovyo pia
Read between the linesMkuu una maana na wewe ulitakiwa kuwa kwenye hiyo hesabu?
Utapiga punyeto sana hadi ubakie na kibamia tu. Sasa bila kutongoza utapataje mbunye?Kama Kutongoza mdada ni urijali na si kujishusha, mbona wao wadada hawatutongozagi? Maana Kimoyo moyo wao wanajua kumshobokea na kumfuata fata mtu ni kujishushia point.
Sahivi mpaka nitongoze demu, ni iwe nimemwelewa sana, la sivyo nakula buyu tu. Kujidhalilisha bila sababu Kisa natongoza, kwangu tena ni mwiko.
utongoze au uwe na hela ?Kama Kutongoza mdada ni urijali na si kujishusha, mbona wao wadada hawatutongozagi? Maana Kimoyo moyo wao wanajua kumshobokea na kumfuata fata mtu ni kujishushia point.
Sahivi mpaka nitongoze demu, ni iwe nimemwelewa sana, la sivyo nakula buyu tu. Kujidhalilisha bila sababu Kisa natongoza, kwangu tena ni mwiko.
Inamadhara makubwa sana, usiombe yakufike. Articles za science zinasema haina madhara, ila itakutengenezea OCD ambayo hutoamini. Bora uacheukweli mtupu, ndiyo maana wengine ni mwendo wa kujichukulia sheria mkononi
siachi ng'oBora uache