Naona kama kumtongoza mdada ni namna fulani hivi ya mwanaume kujishusha na kujidhalilisha

Kuna njia nyingi za mitongozo..
Kila mwanaume anatumia njia yake, wapo wa kujishusha, wapo watongoza kihiphop wapo wale wa fujo..
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…