Naona kama mkosi Mkubwa kwangu kuzaliwa jamii ya watu weusi

Huyu katoka kwemye familia ziizokuwa advanced ya umaskini. Huko ukinya chalet ukijamba nchale ukikaa nchale ukiinama nchale. Hakuna koneksheni wala mipango ya maendeleo. Ukienda mjini huagi, ukitaka kununua kitu cha maana usiseme.
 
Mkuu ni kweli kuna mambo ya ajabu na binadamu wa ajabu ajabu sana Africa na hata duniani kwa ujumla ila lazima ujue jinsi ya kwenda nao sawa tu maana hakuna namna umeshakuja duniani tena bongo.
 
Tafuta kitu ufocus kukifanya jitahidi uwaze hicho kitu baada ya muda utakuwa normal achana na nyumbu ambazo hazielewi nini haswa unapitia
 
Tazama ramani utaona nchi nzuriiii
Yenye mito na mabonde mengi yana.......

Taaaanzaniaaa tanzaniaaaaaa
Nakupenda kwa moyo woteeee....

Mungu ibariki tanzaniaaaaaa
Wabariko viongozi wakeeeee

Mungu ibariki Africaaaaaa ......
 
Huyu akienda Ulaya harudi!

Africa kuna makelele ya watu, radio, magari nk, kuna kufuatiliana kijinga jinga , kuna majungu, kuna uchawi, kuna vumbi, ajali, njaa, magonjwa, ujinga, ufisadi, ndoa ndoano nk
 
Hii ndio jobless depression nayoijua mimi. Mkuu fanya kitu kama yule maarab wa Tunisia aliyejimwagia petrol na kujichoma moto live.
 
Acha kufuru,
Kuna watu wsmezaliwa Gaza na Sudan.
Usifikiri kuwa wakaazi wote wa Gaza na Sudan wanafurahi kuzaliwa huko.

Namna ya kufikiri na kutazama mambo tunatofautiana kati ya mtu na mtu.
 
Mkuu ni kweli kuna mambo ya ajabu na binadamu wa ajabu ajabu sana Africa na hata duniani kwa ujumla ila lazima ujue jinsi ya kwenda nao sawa tu maana hakuna namna umeshakuja duniani tena bongo.
Ni kweli hakuna namna maana tayari imekwisha tokea siwezi zuia hilo ni kusubiri kifo tu, lakini kama kungekuwa na machaguzi hakika nisinge chagua kikombe hiki.
 
Tafuta kitu ufocus kukifanya jitahidi uwaze hicho kitu baada ya muda utakuwa normal achana na nyumbu ambazo hazielewi nini haswa unapitia
Nje ya kazi nilijaribu hicho unacho zungumza lakini ni kama nilikuwa najirisha upepo tu.

Nilikuwa najiongopea kutokuyafuatilia baadhi ya mambo lakini kichwa changu kilikataa mpaka sasa kimekataa.

Umewahi kufikiri mpaka kuumwa kwa zaidi ya siku mbili ?
 
Kumbe mie nilikuwa na hali nzuri nilijibu kupitia namna hii na itakuwa vyema kama ukimwona daktari kwA matibabu zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…