Naona kama mkosi Mkubwa kwangu kuzaliwa jamii ya watu weusi

Naona kama mkosi Mkubwa kwangu kuzaliwa jamii ya watu weusi

Uwe mweupe au mweusi yote ni matokeo lakini kuishi maskini ni kupenda, ukiishi ukiwa unajikataa nao ni umaskini wa akili na ukifiri kuwa mweupe ni utajiri wa fikra nao ni ulemavu wa fikra hebu jiulize yeye ana nini ulichokosa kipi we huwezi fanya yy anakiweza au nikipi ambacho mwafrika hajakifanya huyoo mtu mweupe kakiweza labda nikueleze kitu hebu tizama Tanzania leo Kila Kona watu weupe wapo alafu angalia wanachokifanya eti ss wabongo hatuwezi alafu jiulize weusi wangapi tunao nchini wangefanya hivyohivyo au elimu yetu haitutoshi au wasomi wetu hawatupi hicho wanachofanya.

Labda niseme hivi ipo siku inakuaja hata mamantilie, machinga utaona hao weupe hata ongezeko la unyanyasaji dadazetu litaongeza nakuambia sodoma itahamia hapa hata dini mtaziona tupo hapa endeleeni kuzadharau weusi.....
 
Moja ya tatizo lako ni kulalamika na hujui unacho kulalamika ..
Landa nikusaidie.
Andika tatizo Nini.
Pili Andika miska yako tukuunfanishe JKT au jeshi la akiba(Mgambo)
Mwisho shukuru Hali uliyo mayo,Kuna wengine hawana .
 
Huna akili na kama unazo basi una ugonjwa wa akili.

Kula vizuri punguza stress utakuja kunishukuru kama huna mke is sasa!
 
Binafsi kuzaliwa mtu wa jamii ya watu mweusi kumegeuka mkosi na sio tu kuzaliwa katika jamii ya mtu mweusi pia kuzaliwa Afrika& muafrika na pia sio tu kuzaliwa muafrika pia kuzaliwa Tanzania na Mtanzania.

Ni mambo ambayo kabla ya kuzaliwa kwangu kama ningepewa machaguzi hakika nisinge fikiri mara mbili ninge yakataa haraka sana bila hata kujiuliza mara mbili mbili.

Katika safari ya maisha yangu sijawahi kabisa kufurahia maana ya maisha na sababu yake naifahamu na inanitesa sana.

Sina uwezo wa kuikataa asili yangu na jamii yangu na hata kama nikifanya hivyo nitakuwa najiongopea tu lakini ukweli halisi utabaki ndani ya moyo wangu ukinitesa sana.

Binafsi nimekuwa ni mtu wa kuwaza sana tena sana hali ambayo mara kadhaa imekuwa ikinipelekea mpaka mwili wangu kutokuwa sawa kiafya.

Nimejaribu mara nyingi kuya puuzia, kujiepusha na kutoya fuatilia mambo yanayo tokea katika jamii yangu angalau nilinde afya ya mwili wangu kwa kujiepusha kuwaza sana lakini nimeshindwa ni kama hayo mambo yana nilazimisha niyawaze hata nikijaribu kujiongopea kwa kutokuyafuatilia lakini changamoto bado ipo.

Inahitaji moyo wa kipekee sana kuwa mtu mwenye furaha katika hii jamii yetu.

Jamii yetu kwa haraka unawezasema ni kama imerogwa au imelaanika huko kale au sijui ndivyo ilivyo ? Kwa kweli sifahamu labda wenzangu mnafahamu.

Huu mkosi wa mimi kuzaliwa katika hii jamii sitapenda wala sitahitaji kizazi changu kije kirithi hii hali maana inahitaji uvumilivu wa kiwango cha juu sana pasipo kuchukua maamuzi magumu.

Katika jambo nililo jiapizia ni mimi kutokuja kuleta kiumbe katika mkosi huu kama huu mkosi acha unipate mimi tu na nife nao lakini sio kiumbe changu kuja kurithi hii laana ambae mimi Baba yake nimeiona na kuishi katika jamii yangu.

Imefika muda unaishi tu ili umalize safari ya maisha yako hapa duniani ufe.

Nimekuwa ni mtu wa huzuni nyingi sana mara nyingi na pia ni mtu wa kufikiri sana kupita kiasi, wenda kuzunguka kwangu maeneo mengi katika jamii yangu kuna nitesa sana na kupelekea yote haya.

Na hakika niliyo shuhudia yana hitaji moyo mgumu sana na wa uvumilivu kufikiri sisi hatuja laaniwa au hatuna mikosi.

Mitandao kidogo inasaidia kunipunguzia huzuni na wakati mwingine nayo inachangia kuniongezea huzuni ni sawa na 50/50.

Inahitaji moyo mgumu sana kuyavumilia haya ya jamii yangu maana ni mateso makali na ukiwa na akili timamu hakika mateso makali lazima yatese mwili wako mpaka siku ya kifo chako.

Kama kweli kuna maisha ya pili baada ya kifo na nikapata machaguzi ya kuzaliwa wapi hakika sitaweza kuchagua asili yangu na jamii yangu niliyo nayo.

Kwa sasa sina uwezo wa kukimbia kivuli changu(asili yangu ) lakini acha nikipieshe kizazi changu juu ya hii laana iliyopo katika jamii yangu.

Unahitaji moyo wa kipekee sana tena sana kutokuchukizwa kwa yanayo endelea.
Mmmmmmmhhhh!!
 
Binafsi kuzaliwa mtu wa jamii ya watu mweusi kumegeuka mkosi na sio tu kuzaliwa katika jamii ya mtu mweusi pia kuzaliwa Afrika& muafrika na pia sio tu kuzaliwa muafrika pia kuzaliwa Tanzania na Mtanzania.

Ni mambo ambayo kabla ya kuzaliwa kwangu kama ningepewa machaguzi hakika nisinge fikiri mara mbili ninge yakataa haraka sana bila hata kujiuliza mara mbili mbili.

Katika safari ya maisha yangu sijawahi kabisa kufurahia maana ya maisha na sababu yake naifahamu na inanitesa sana.

Sina uwezo wa kuikataa asili yangu na jamii yangu na hata kama nikifanya hivyo nitakuwa najiongopea tu lakini ukweli halisi utabaki ndani ya moyo wangu ukinitesa sana.

Binafsi nimekuwa ni mtu wa kuwaza sana tena sana hali ambayo mara kadhaa imekuwa ikinipelekea mpaka mwili wangu kutokuwa sawa kiafya.

Nimejaribu mara nyingi kuya puuzia, kujiepusha na kutoya fuatilia mambo yanayo tokea katika jamii yangu angalau nilinde afya ya mwili wangu kwa kujiepusha kuwaza sana lakini nimeshindwa ni kama hayo mambo yana nilazimisha niyawaze hata nikijaribu kujiongopea kwa kutokuyafuatilia lakini changamoto bado ipo.

Inahitaji moyo wa kipekee sana kuwa mtu mwenye furaha katika hii jamii yetu.

Jamii yetu kwa haraka unawezasema ni kama imerogwa au imelaanika huko kale au sijui ndivyo ilivyo ? Kwa kweli sifahamu labda wenzangu mnafahamu.

Huu mkosi wa mimi kuzaliwa katika hii jamii sitapenda wala sitahitaji kizazi changu kije kirithi hii hali maana inahitaji uvumilivu wa kiwango cha juu sana pasipo kuchukua maamuzi magumu.

Katika jambo nililo jiapizia ni mimi kutokuja kuleta kiumbe katika mkosi huu kama huu mkosi acha unipate mimi tu na nife nao lakini sio kiumbe changu kuja kurithi hii laana ambae mimi Baba yake nimeiona na kuishi katika jamii yangu.

Imefika muda unaishi tu ili umalize safari ya maisha yako hapa duniani ufe.

Nimekuwa ni mtu wa huzuni nyingi sana mara nyingi na pia ni mtu wa kufikiri sana kupita kiasi, wenda kuzunguka kwangu maeneo mengi katika jamii yangu kuna nitesa sana na kupelekea yote haya.

Na hakika niliyo shuhudia yana hitaji moyo mgumu sana na wa uvumilivu kufikiri sisi hatuja laaniwa au hatuna mikosi.

Mitandao kidogo inasaidia kunipunguzia huzuni na wakati mwingine nayo inachangia kuniongezea huzuni ni sawa na 50/50.

Inahitaji moyo mgumu sana kuyavumilia haya ya jamii yangu maana ni mateso makali na ukiwa na akili timamu hakika mateso makali lazima yatese mwili wako mpaka siku ya kifo chako.

Kama kweli kuna maisha ya pili baada ya kifo na nikapata machaguzi ya kuzaliwa wapi hakika sitaweza kuchagua asili yangu na jamii yangu niliyo nayo.

Kwa sasa sina uwezo wa kukimbia kivuli changu(asili yangu ) lakini acha nikipieshe kizazi changu juu ya hii laana iliyopo katika jamii yangu.

Unahitaji moyo wa kipekee sana tena sana kutokuchukizwa kwa yanayo endelea.
Kwanza kabisa uhai ni zawadi kutoka kwa Mungu haya mengine ni changamoto ambazo unahitaji kupambana ili kukabiliana nazo na hata kuepusha kizazi chako na hayo wewe unayoita mikosi, hata ulaya miaka hiyo waliikuta hali ngumu ila kwa nidhamu na ufanyaji kazi wao waliibadili ulaya kuiona hiyo unayoiwaza leo hii. Usijilaani mwenyewe pambana kuondoka kwenye mikosi.
 
Back
Top Bottom