Naona kampeni ya kumchafua Waziri Mkuu Majaliwa na hachafuki ng'o kwa kuwa sio fisadi

Naona kampeni ya kumchafua Waziri Mkuu Majaliwa na hachafuki ng'o kwa kuwa sio fisadi

Ni kawaida ya viongozi wakali na waadilifu kurushiwa tuhuma za kuwachafua na hili naliona kwa waziri Mkuu wetu Mhe. Majaliwa lakini ukweli ni kwamba hawezi kuchafuka kwa kuwa sio fisadi na wala hana chembechembe hizo na katika jamii yetu tuhuma za ufisadi ndio zinaweza kumchafua mtu.

Kwa mtazamo wangu, naona vita ya Urais kwa 2025 au 2030 zimeanza mapema Sana na mtu mwenye uwezekano wa kushinda ni waziri Mkuu hivyo zinatumika juhudi kubwa kumchafua lakini zinashindikana.

Wanaotaka kumchafua Waziri Mkuu wasubirie ishu ya ufisadi Kama akikutwa nayo lakini sidhani Kama atakuwa nayo, ni moja ya watu safi katika dhamiri, maneno na matendo.
Huyo Mwongo Mwandamizi Hakuna anayemheshimu tena labda nyie chawa wake.
 
Uhalisia upi?

Juzi nilikuambia kuwa huwezi kutegemea taarifa yoyote ya ukweli toka serikalini, ukaja juu. Jana waziri mkuu kaongea uongo wa wazi bungeni, kuwa huko Ngorongoro hali ni shwari na hakuna askari yoyote kaenda huko kwa ajili ya kupiga wananchi. Leo hii mkuu wa mkoa wa Arusha kasema polisi kauwawa! Je bado unaweza kutegemea taarifa yoyote ya ukweli toka kwa serikali ya aina hiyo?
 
Utakuwa una matatizo ya akili ukimuwazia huyo jamaa kuja kuwa Rais
 
Ni kawaida ya viongozi wakali na waadilifu kurushiwa tuhuma za kuwachafua na hili naliona kwa waziri Mkuu wetu Mhe. Majaliwa lakini ukweli ni kwamba hawezi kuchafuka kwa kuwa sio fisadi na wala hana chembechembe hizo na katika jamii yetu tuhuma za ufisadi ndio zinaweza kumchafua mtu.

Kwa mtazamo wangu, naona vita ya Urais kwa 2025 au 2030 zimeanza mapema Sana na mtu mwenye uwezekano wa kushinda ni waziri Mkuu hivyo zinatumika juhudi kubwa kumchafua lakini zinashindikana.

Wanaotaka kumchafua Waziri Mkuu wasubirie ishu ya ufisadi Kama akikutwa nayo lakini sidhani Kama atakuwa nayo, ni moja ya watu safi katika dhamiri, maneno na matendo.
Waziri mkuu aliposema hakuna fujo ndio wachochezi wakafanya yao. Wakawapelekea wamasai pinde kuwapanga kujionyesha wanajiandaa kwa uasi. Ni uchochezi tu kwanza kwa jadi masai hatui upinde na mshale bali mkuki ngao na sime.
Wachochezi walitaka ionekane waziri mkuu muungo.
 
Back
Top Bottom